Uncategorized

HATMA YA KANDA, CHAMA NDANI YA SIMBA IMEFIKIA HAPA

admin March 28, 2020 4:17 am

KATIKA kukiboresha kikosi chao, uongozi wa Simba umeahidi kutomuachia mchezaji yeyote watakayemuhitaji kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara ambaye mkataba wake unamalizika mwishoni mwa msimu. 

Hiyo ikiwa ni siku chache tangu zienee tetesi za viungo wao, Mzambia Clatous Chama na Mkongomani, Deo Kanda saini zao kuwaniwa na watani wao wa jadi, Yanga.

Nyota kadhaa wa Simba mikataba yao inamalizika mwishoni mwa msimu huu akiwemo Yusuf Mlipili, Hassani Dilunga, Paul Bukaba, Mohammed Ibrahim na Deo Kanda anayecheza hapo kwa mkopo akitokea TP Mazembe. Chama mkataba wake umebaki mwaka mmoja.

 Kwa mujibu wa taarifa ambazo imezipata Spoti Xtra, uongozi wa timu hiyo umetenga fedha ili kuhakikisha wachezaji wanaomaliza mikataba yao Nyota kadhaa wa Simba mikataba yao inamalizika mwishoni mwa msimu huu akiwemo Yusuf Mlipili, Hassani Dilunga, Paul Bukaba, Mohammed Ibrahim na Deo Kanda anayecheza hapo kwa mkopo akitokea TP Mazembe.
VIGOGO WATANO WAJIENGUA YANGA NAHODHA WA YANGA TSHISHIMBI AKUBALI YAISHE KWA SIMBA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply