Uncategorized

SABABU YA MNATA KUTUA YANGA HII HAPA

admin April 4, 2020 7:02 am


METACHA Mnata, mlinda mlango namba mbili wa Yanga amesema kuwa sababu kubwa iliyomfanya ajiunge ndani ya Yanga ni ushindani wa namba uliokuwa ndani ya kikosi cha Azam FC.

Mnata alisajiliwa na Yanga ambapo alikuwa anakipiga Mbao FC kwa mkopo akitokea Azam FC ambao ndio walikuwa mabosi zake.


 “Nilijiunga na Yanga baada ya Azam FC kukubali kwa kuwa wao walikuwa wananimiliki na walikuwa wamenipeleka Mbao FC ili kujiweka sawa. 

“Ushindani ndani ya Azam FC ulikuwa mkubwa na haikuwa rahisi kupata nafasi ndani ya kikosi cha kwanza jambo lililosababisha pia nikaibukia Mbao FC,” amesema.

BEKI TANZANIA PRISONS: TUNAKOSA UHURU KWA SASA RONALDINHO AMTAJA ANAYEMKUBALI KATI YA MESSI NA CR 7

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply