Uncategorized

KIUNGO WA MTIBWA SUGAR ANAYEWINDWA NA YANGA AFUNGUKIA ISHU YAKE

admin April 6, 2020 7:02 am

ABDULHAMAN Humud, kiungo anayekipiga ndani ya Klabu ya Mtibwa Sugar amesema kuwa iwapo Yanga itahitaji saini yake hana tatizo nao lazima atasaini iwapo watafikia makubaliano.

Humud amekuwa kwenye ubora wake msimu huu ndani ya Mtibwa Sugar iliyo nafasi ya 14 baada ya kucheza mechi 29 na kwenye mabao 22 waliyofunga yeye amefunga mabao mawili.

Kiungo huyo amesema:”Mchezaji kazi yake ni kucheza bila kujali anacheza wapi lakini kikubwa ni maslahi yake na kujua kile ambacho anakihitaji ni nini kwenye hiyo timu.

“Ishu ya kutua Yanga bado haijawa sawa kwani nami ninaskia tu lakini ikitokea wakafuata taratibu zote sina tatizo katika hili nitacheza bila mashaka,” amesema.

KINARA WA UTUPIAJI BONGO ATAJA KINACHOWAPONZA WAZAWA KUTUSUA JAMES KOTEI:NINAWEZA KURUDI SIMBA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply