Uncategorized

MSHAMBULIAJI HUYU AMEPIGA KITABU, UWANJANI ANATUPIA KAMA KAWAIDA

admin April 19, 2020 5:29 pm

WAZIR Jr, mshambuliaji huyu anakipiga Mbao FC. Kichwani ana Degree ya IT ana tuzo pia ya mchezaji bora wa Mwezi Novemba ambapo aliipata baada ya kutupia mabao manne wakati timu yake ya Mbao ilipocheza mechi nne.
Amehusika kwenye mabao tisa kati ya 19 yaliyofungwa na Mbao ambapo amefunga saba na kutoa pasi mbili za mabao.
Timu yake ipo nafasi ya 19 ikiwa imekusanya pointi 23 baada ya kucheza mechi 28 imeshinda mechi tano sare saba na kichapo mechi 16.
KAGAME AENDELEA KUMSHIKILIA KAGERE..!! DODO YA ALIKIBA YAWEKA REKODI YA AJABU BONGO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply