Uncategorized

MWILI JUMBA WA YANGA ATAJA KINACHOMFELISHA

admin April 29, 2020 2:11 pm


MSHAMBULIAJI wa Yanga mwili jumba, Yikpe Gnamien amesema kuwa kilichompoza ashindwe kuonesha makeke yake hivi karibuni ni kukalishwa benchi kwa muda mrefu.

Ingizo hilo jipya ambalo lilivunja mkataba na Klabu ya Gormahia limetupia bao moja kwenye ligi ilikuwa ni kwenye mechi yake ya kwanza dhidi ya Singida United.

Yikpe amesema:” kikubwa ambacho kilikuwa kinanifanya nisiwe kwenye ubora wangu ni kukaa benchi kwa muda mrefu jambo ambalo lilinifanya nishindwe kuonyesha kile nilichonacho.

“Kwa kipindi cha sasa ninachukua mazoezi binafsi ili kuwa bora nina amini nitafanya vema pale nikipewa nafasi kikubwa kwa sasa kila mmoja kuchukua tahadhari,” .

Janga la Corona limesimisha ligi ya Bongo tangu Machi 17 na mpaka sasa bado haijajulikana itarejea lini.

TUSIVISAHAU VIWANJA VYETU KWA SASA KISA CORONA HATMA YA MLINDA MLANGO NAMBA MOJA WA AZAM FC MIKONONI MWA MROMANIA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply