Uncategorized

ALIYEZICHONGANISHA SIMBA NA YANGA ANUKIA KUTIMKIA MOROCCO

admin May 7, 2020 3:10 pm

KIUNGO wa Polisi Tanzania, anayewindwa na Simba, Yanga na Azam FC huenda akasepa zake na kuibukia Morocco kukipiga soka la kulipwa.

Baraka Majogoro ambaye msimu huu amekuwa kwenye ubora wake inaelezwa kuwa amekuwa akizichonganisha Simba na Yanga ambazo zote zinahaha kuipata saini yake.

Habari zinaeleza kuwa kuna timu moja ambayo ipo Morocco imeshaingia kwenye 18 ikisaka saini yake.

“Tayari Majogoro ameanza mazungumzo na Klabu ya Youssofia Berrechid ya huko Morocco hivyo mambo yakijibu anaweza kusepa,” ilieleza taarifa hiyo.

Majogoro amesema kuwa anatazama nafasi yake ya kucheza kwanza kisha dili lenyewe litasema nini.

SIMBA YAMRUHUSU AJIBU KURUDI YANGA KWA MASHARTI MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply