Uncategorized

MWAKALEBELA: NINABEBESHWA MIZIGO ISIYONIHUSU

admin July 24, 2020 6:47 am


FREDRICK Mwakalebela, Makamu Mwenyekiti wa Yanga amesema kuwa ikiwa kuna jambo baya ambalo amelifanya ndani ya Yanga wamwambie kwa sasa kwa kuwa anabebesha mizigo isiyomuhusu kila wakati.

Hivi karibuni kumekuwa na taarifa kwamba miongoni mwa viongozi ambao wanaihujumu Yanga ni pamoja naye jambo ambalo limemfanya asiwe na furaha.

Mwakalebela amesema:”Nimekuwa nikiambiwa kwamba ninafanya mambo ambayo sio sawa na mambo yote mabaya ninaambiwa ni mimi katika hili mimi sina furaha kwa kweli.

“Kila baya la Yanga ninatajwa mimi, kwani nina nguvu gani ndani ya Yanga ya kuweza kufanya yote hayo? Ikiwa kuna jambo ambalo wanahitaji nifanye basi waniambie kwa sasa kwani sio sawa kupeana mizigo ambayo haina ukweli,” amesema.

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA VIDEO:SAFARI YA MWANAFAMILIA YA MICHEZO MKAPA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply