Uncategorized

SIMBA YATAJA MASHINE YA KAZI YA AZAM FC ITAKAYOIMALIZA YANGA KESHO

admin November 24, 2020 8:47 am


 HAJI Manara, Ofisa Habari wa Simba amesema kuwa kwenye mchezo wa kesho kati ya watani zao wa jadi Yanga dhidi ya Azam FC kiungo, Salum Abubakari,’Sure Boy’ atamtazama kwa ukaribu.


Yanga ikiwa nafasi ya pili ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Azam FC mchezo utakaoamua nani atakuwa nafasi ya kwanza kwa kuwa timu zote zina pointi 25 baada ya kucheza mechi 11.


Manara amesema:”Jumatano jicho langu litakuwa kwa Salum Abubakari, nina amini kwamba Hawatoki kwenye mchezo huo,” amesema.

WAYNE ROONEY ALIKUWA ANAIFIKIRIA BARCELONA WANNE PANGA LINAWAHUSU NDANI YA MANCHESTER UNITED

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply