Uncategorized

KIKOSI CHA SIMBA KINACHOTARAJIWA KUANZA LEO DHIDI YA YANGA, KOMBE LA MAPINDUZI

admin January 13, 2021 3:47 pm

NI muda tu unasubiriwa kwa sasa kabla ya watani wa jadi Yanga v Simba kukutana ndani ya Uwanja wa Amaan, kusaka ushindi wa taji la Kombe la Mapinduzi.


Kwa mujibu wa gazeti la Championi Jumatano hiki hapa kikosi kwa Simba kinatarajiwa kuanza pamoja na rekodi zake kwa hao wachezaji:-

Beno Kakolanya, amefungwa mabao mawili, mechi tatu amekaa langoni.

David Kameta ana pasi mbili za mabao

Mohamed Hussein ana pasi moja ya bao

Kennedy Juma

Joash Onyango

Thadeo Lwanga

Mzamiru Yassin

Meddie Kagere ametupia mabao mawili

Francis Kahata

Miraj Athuman mabao manne

Hassan Dilunga ametupia bao moja

AZAM FC KUPIGA KAMBI ZANZIBAR SIKU 10 WAWILI KUPIGWA PANGA NDANI YA AZAM FC MAZIMA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply