SIMBA WAMTANGAZA KOCHA MPYA, MFARANSA Kutoka EL MERRICK – VIDEO
adminJanuary 24, 202110:47 am
UONGOZI wa klabu ya Simba umemtambulisha rasmi Mfaransa Didier da Rosa kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho mara baada ya aliyekuwa kocha wa kikosi hicho Sven Vandenbroeck kuachia ngazi Januari 7, mwaka huu.
Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.