Simba SC

CHIKWENDE AENGULIWA SIMBA, MKUDE NDANI KIMATAIFA

admin February 8, 2021 8:47 pm


 ORODHA ya kikosi cha Klabu ya Simba kinachotarajia kuanza safari kesho, Februari 9 kuwafuata wapinzani wao AS Vita kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika unaotarajiwa kuchezwa Februari 12.

Ikiwa kundi A itaanzia ugenini kusaka pointi tatu ambapo kwenye orodha hiyo nyota wao Perfect Chikwende si miongoni mwa msafara huo.

Ingizo hilo jipya kwenye michuano ya kimataifa amepigwa chini kwa kuwa alicheza akiwa na timu yake ya zamani ya FC Platinum hivyo jina lake limeondolewa kwa wachezaji wa kimataifa yeye atabaki ndani ya Ligi Kuu Bara.

Hii hapa orodha ya wachezaji hao:-


KIUNGO DOMAYO NJE YA UWANJA MWEZI MZIMA MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6131

Leave a Reply