Azam FC

AZAM FC WAIVUTIA KASI MBEYA CITY

admin February 15, 2021 9:47 am

 


BAADA ya kupoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union,  kituo kinachofuata ni dhidi ya Mbeya City,  Uwanja wa Azam Complex,  Februari 18.


Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu,  George Lwandamina ipo nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara na ina pointi 33 kibindoni. 


Itawakaribisha Mbeya City iliyo nafasi ya 17 na pointi zao ni 15 wote wamecheza jumla ya mechi 19 ndani ya msimu wa 2020/21.


Walipokutana Uwanja wa Azam Sokoine,  mzunguko wa kwanza,  AzamFC ilishinda bao 1-0 hivyo mchezo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

BIASHARA UNITED YAVUNJA UTEJA MBELE YA MWADUI FC NAMUNGO FC KUANZA SAFARI KURUDI BONGO LEO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply