Simba SC

ORODHA YA NYOTA 10 WA SIMBA WALIOITWA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA

admin February 26, 2021 2:47 pm




KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Kim Poulsen, leo Februari 26 ametangaza kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania kitakachoingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya mechi za kuwania kufuzu Afcon.

Nyota 10 wameitwa kutoka kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu.

Hawa hapa wachezaji walioitwa na Poulsen:- Aishi Manula yeye ni kipa namba moja wa Simba

Shomari Kapombe yeye ni beki wa pembeni

 Erasto Nyoni huyu ni kiraka ndani ya kikosi.

 Kennedy Juma yeye ni beki wa kati.

 Mohamed Hussein ‘Tshabalala’,beki wa pembeni.

 Hassan Dilunga kiungo mshambuliaji.

 Mzamiru Yassin kiungo mkabaji.

 Said Ndemla kiungo mkabaji.

 John Bocco yeye ni mshambuliaji

Jonas Mkude ni kiungo mkabaji

MAJERAHA YA LUKOSA YAMFANYA GOMES ‘KUWEWESEKA’ ORODHA YA NYOTA NANE WA YANGA NDANI YA TAIFA STARS

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply