LIGI ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi
Zimeongezwa dakika 3
Dakika ya 45 anaingia Nyoni
Dakika ya 43 Onyango anapewa huduma ya Kwanza na anaomba kutolewa, alipigwa mpira kichwani
Dakika ya 41 Onyango anaokoa hatari mikononi mwa Manula
Dakika ya 38 Gooooooal Tshabalala
Dakika ya 36 Lwanga anaanua majalo
Dakika ya 33 kipa wa Al Merrikh anapewa huduma ya Kwanza
Dakika ya 30 Mugalu anakosa nafasi ya wazi kwa pasi ya Morrison
Dakika ya 29 Mongbe kipa wa Al Merrikh anaonyeshwa kadi ya njano
Dakika ya 26 Morrison anaokoa hatari
Dakika ya 22 Onyango anapewa huduma ya Kwanza
Dakika ya 17 Luis Miqussone goal
Dakika ya 16 Mugalu anapiga shuti linaokolewa.
Ndani ya dakika 15 timu zote mbili hakuna hata moja ambayo imepiga shuti ambalo limelenga lango.
Simba wanatengeneza nafasi ila watashindwa kutumia
Dakika ya 15 Mzamiru anachezewa faulo
Dakika ya 8 Monged anapewa huduma ya Kwanza ni kipa wa Al Merrikh
Dakika ya 7 Mzamiru anapeleka mashambulizi Al Merrikh
Dakika ya 4 Mugalu anachezewa faulo
Dakika ya 3 Onyango anaanua majalo
Dakika ya Kwanza Morrison anatengeneza nafasi mabeki wa Al Merrikh wanaanua
Simba 0-0 Al Merrikh
Kipindi cha kwanza
Machi 16, Simba v Al Merrikh
Mchezo wa marudio, ule wa kwanza Uwanja wa Al Hilal ngoma ilikuwa 0-0