Home Authors Posts by admin

admin

25373 POSTS 9 COMMENTS

BAADA YA KUIONA SIMBA YA MSIMU….ALLY KAMWE KAKUNA KICHWA WEEE…KISHA AKASEMA...

0
Ofisa Habari wa Yanga SC amesema kuwa Simba SC ya msimu huu wa 2025/26 ni mbovu kuliko ile ya msimu uliopita wa 2024/25. Yanga SC...

WIKIENDI YA MOTO WA CAF HII HAPA….SIMBA, YANGA MGUU SAWA…..

0
WIKIENDI imechangamka kwenye anga la kimataifa kutokana na timu zote nne kutoka Tanzania kuwa katika kazi. Ijumaa, Uwanja wa 11 de Novembro, Wiliete Sports vs...

BAADA YA KUPEWA MIKOBA YA UKOCHA…..HILI HAPA SWALI ZITO KWA IBENGE...

0
TANGU msimu wa 2013-14 ambao Azam FC ilibeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara ikiwa ni mara ya kwanza kwao, wamepita makocha mbalimbali kuifukuzia rekodi...

HUYU HAPA MCHEZAJI WA KWANZA KUFUNGA GOLI LIGI KUU MSIMU HUU...

0
DARUWESH Saliboko wa KMC amekuwa mchezaji wa kwanza msimu huu kufunga bao katika Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-2026 alipoiwezesha timu hiyo kuibuka washindi...

NEEMA TU…..FIFA KUZIJAZA MAMILIONI SIMBA, YANGA…AZAM NAO WAMO….MPANGO MPYA HUU HAPA…

0
SIMBA, Yanga, Azam na klabu nyingine chache za Ligi Kuu Tanzania Bara, zitakuwa miongoni wa wanufaika wa kupata fidia ya fedha kutoka Shirikisho la...

KWA HILI…..FOLZ ASHINDWE MWENYEWE NA HII YANGA AISEE….

0
VIONGOZI wa Yanga wamefanya kila kitu kuhakikisha timu hiyo inaendelea kuwa na kikosi kizuri chenye uwezo wa kutetea mataji iliyobeba msimu uliopita ikiwamo Ligi...

KISA SIMBA…..MASTAA YANGA WALAMBA MIL 200 ZA CHAP CHAP….DILI ZIMA LIKO...

0
YANGA imeshatua Angola tayari kwa kukutana na Waliete FC, ya huko lakini kabla ya mastaa wa timu hiyo hawajashuka kwenye 'pipa' kuna mamilioni wameingiziwa...

PICHA LA FEI TOTO LAENDELEA AZAM…AJILI KIAPO CHA LAZIMA KUHUSU HATMA...

0
AZAM FC tayari ipo Juba, Sudan Kusini kwa ajili ya mechi ya raundi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji wao,...

LIGI KUU BARA 25/26….HIZI HAPA KUPIGWA WAKATI JUA LA UTOSI 🌞🌞….

0
RATIBA ya Ligi Kuu Bara 025-2026 imetoka ambapo pazia litafunguliwa kesho, Septemba 17, 2025 kwa KMC kuikaribisha Dodoma Jiji saa 10:00 jioni huku Coastal...

MARA YA SITA MFULULIZO….KICHWA KIMEPIGWA KOOO….PACOME AWAULIZA MASWALI MAGUMU …

0
Yanga imeendeleza ubabe kwa Simba baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa fainali ya Ngao ya Jamii uliochezwa katika Uwanja...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS