admin
MO DEWJI AIBUKA NA MAPYA SIMBA….ATAJA WANAOMKWAMISHA KUWEKEZA…
Mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji amesema anawafahamu wale wote wanaokwamisha mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji ndani ya klabu hiyo na...
MTANZANIA KULAMBA BILIONI 1.7 KISA POOL TABLE TU…ISHU NZIMA IKO HIVI…
Mchezaji wa Pool table, Abdallah Hussein anayeiwakilisha Tanzania kwenye Mashindano ya Pool table yanayoendelea nchini China amefuzu kuingia kwenye hatua ya wachezaji 64 bora...
KUHUSU TAARIFA YA TAIFA STARS vs UGANDA KUPIGWA USIKU SANA…UHAKIKA HUU...
Shirikisho la Soka nchini Tanzania ‘TFF’ limethibitisha taarifa za kusogezwa mbele kwa muda wa kuanza kwa mchezo wa Mzunguuko wanne wa Kundi F, kuwania...
JISAJILI LEO UPATE MPAKA MIZUNGUKO 50 BURE NDANI YA KASINO YA...
: Jisajili Meridianbet na upate mizunguko 50 ya bure ya kasino ya mtandaoni! Bonyeza hapa kujisajili https://a.meridianbet.co.tz/c/HCCXQj
Zaidi unakuwa kwenye nafasi nzuri ya kushndinda Bonasi,...
PAMOJA NA YANGA KUINGIA ROBO FAINAL CAF….ALLY KAMWE AANIKA TIMU WANAYOIHOFIA...
Baada ya kufanikiwa kufuzu hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Shiriko Afrika, uongozi wa Yanga umeibuka na kutamka kuwa levo ambazo wanazo, wao...
KISA KIPIGO CHA GOLI 7-0….BEKI HOROYA AENDELEA KUWEWESEKA NA JINA LA...
Kiungo fundi wa mpira wa Simba, Clatous Chama yuko juu katika orodha ya wafungaji mabao wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi akiwa...
KUHUSU SIMBA KUSHINDA GOLI 7-0 DHIDI YA HOROYA….EDO KUMWEMBE AFICHUA HAYA...
Simba ilijikatia nafasi ya kufuzu kwa hatua ya Robo Fainali juzi jumamosi baada ya kuitandika Horoya mabao 7-0 kaika Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Ushindi huo...
KUHUSU ISHU YA NABI KUSEPA YANGA….MAZITO YAIBUKA…KIGOGO JANGWANI AANIKA A-Z JAMBO...
Wiki iliyopita Yanga ilikuwa uwanjani ikisaka heshima yake ya kutinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini nyuma mabosi...
WATUNISA KUMBEBA MAYELE YANGA….ISHU NZIMA IKO HIVI…
Kocha Mkuu wa US Monastir ya Tunisia, Novic Darko, ameshindwa kujizuia na kutamka kuwa kama akipewa nafasi ya kusajili Mshambuliaji msimu ujao, basi chaguo...
BAADA YA KUTINGA ROBO FAINAL KIBABE…MBRAZILI SIMBA AAPA KUIVIMBIA YANGA…APELEKA FAILI...
Mashabiki wa Yanga wanatamba mtaani kutokana na timu hiyo kuongoza Ligi Kuu Bara kwa tofauti na pointi nane, lakini wakiamini watani wao wa jadi...