LATEST ARTICLES

SAKATA LA CONTE NA DOUMBIA KAMWE AFICHUA

0
OFISA Habari wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe, amefunguka kuhusu sakata linalowahusu nyota wao wawili, Balla Conte na Mohammed Doumbia, wanaodaiwa kugoma kutolewa kwa...

SIMBA YATOA ONYO KALI KWA WANA JANGWANI

0
Klabu ya Simba  imeweka wazi kuwa haiko tayari kufanya usajili wa kukurupuka katika dirisha dogo la usajili, kuwa kila hatua inayochukuliwa inalenga kuimarisha kikosi...

HATUMPI PRESHA KOCHA, MANGUNGU

0
MWENYEKITI wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu, amesema kuwa kucheza mechi mbili pekee hakuwezi kuwa kipimo cha kutathmini ubora wa kocha mkuu wa timu...

CAMARA AIOKOA SIMBA, YAKATA TIKETI YA NUSU FAINALI

0
SIMBA   imefanikiwa kukata tiketi ya kucheza hatua ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya...

HOLIDAY DROPS INAKUPA ZAWADI ZA KUANZA MWAKA

0
Meridianbet inakuleta fursa ya kipekee ya kushinda kupitia Holiday Drops. Hii si michezo ya kawaida, ni tukio la kipekee ambapo zawadi hujitokeza ghafla, zikibadilisha kila...

USHINDI UNAANZIA HAPA NYUMBANI

0
Nafasi ya ushindi hii hapa na wakali wa Meridianbet ambapo kupitia promosheni ya Beti Online unaweza ukaondoka na Samsung A26. Weka dau lako kuanzia...

YANGA YAJIPANGA KIVITA DHIDI YA TRA UNITED

0
KIKOSI cha Yanga kinatarajiwa kushuka dimbani kesho Januari 6, 2026 kuikabili TRA United katika mchezo wake wa pili wa mashindano ya Kombe la Mapinduzi...

NDANI YA MASAA 48 JANGWANI KUTAMBULISHA WAPYA

0
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umeweka wazi kuwa mchakato wa usajili bado unaendelea, leo na kesho wakitarajiwa kuendelea kuwatambulisha nyota wapya wa kimataifa watakaokiongeza...

BOYELI NA JANGWANI KWISHA HABARI

0
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umetangaza rasmi kuachana na aliyekuwa nyota wao, Andy Boyeli, baada ya kumalizika kwa mkataba wake wa mkopo wa miezi...

YANGA YATOA ONYO KALI ZANZIBAR YAICHAPA NA……..

0
KIKOSI cha  Yanga kimeendelea kudhihirisha ubora wake baada ya kuanza kwa kishindo mashindano ya Kombe la Mapinduzi, kufuatia ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi...