LATEST ARTICLES

Habari za Simba leo

SIMBA WALIVYOTAMATISHA TAMASHA LAO KIBABE JANA…VIFAA VIPYA MHHHHH……

0
TAMASHA la Simba Day limehitimishwa kwa mechi ya kirafiki wa kimataifa uliozikutanisha Simba dhidi ya Gor Mahia ya Kenya. Mchezo huo uliofanyika jana Septemba 10,...
Kikosi cha Simba 2025/26

KIKOSI KAMILI CHA SIMBA 2025/26….KAPOMBE, MPANZU WALIVYOIBUA SHANGWE KWA MKAPA….

0
UTAMBULISHO wa kikosi cha Simba SC kwa msimu wa 2025-2026, umeteka hisia za mashabiki wa timu hiyo waliofika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es...
Habari za Simba leo

RASMI….DUCHU ARITHI VYA ‘TSHABALALA’ SIMBA….KIKOSI KAMILI MSIMU 2025/26 HIKI HAPA…..

0
BAADA ya Mohamed Hussein 'Tshabalala' kuondoka Simba, timu aliyoitumikia kwa takribani miaka kumi, sasa kuelekea msimu wa 2025-2026, mikoba yake ipo kwa David Kameta...
Habari za Yanga leo

BAADA YA KUIFUNGA GHANA JUZI…MSHAMBULIAJI MPYA AISHTUA YANGA….MABOSI WAKUNA KICHWA

0
KATI ya wachezaji 11 wapya waliotua Yanga kwa ajili ya msimu wa 2025-2026, kiungo mshambuliaji Celestine Ecua mapema tu ameonekana kuwashtua mabosi wa timu...

SIMBA DAY 25: BAADA YA KUONA ‘VIBE’ LA MNYAMA LEO…MORRISON AIPA SIMBA KIFAA…

0
NYOTA wa zamani wa Simba raia wa Ghana, Bernard Morrison 'BM3', amesifu tamasha la kikosi hicho linalofanyika leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini...
Habari za Simba leo

SIMBA DAY :-MBOSO ALIVYO ‘MBOSOA’ KWA MKAPA LEO….ALLY KIBA ASHINDWA KUJIZUIA KWA ‘UTAMU’….

0
KAMA kuna mashabiki waliinjoi leo kwa Mkapa basi ni kushuhudia shoo ya Mwimbaji wa Bongo Fleva, Mbwana Yusuph Kirungi maarufu kama Mbosso. Kama kuna tuzo...
Habari za Simba leo

ALIYETOKA LIGI ‘DARAJA LA KWANZA’ ATOA AHADI YA MAKOMBE SIMBA….

0
SIKU moja baada ya kutambulishwa na Simba, beki Vedastus Masinde amesema anafurahia kujiunga na timu aliyoitaja kuwa ni bora kwake na anakwenda kufanya kazi...
Habari za Yanga leo

KISA YANGA KUWA NA THAMANI YA BIL 100….UTATA WAIBUKA…HOJA NZITO IKO HAPA….

0
HUKO mtandaoni na hata mitaani kwa sasa mjadala ulioteka wadau wa soka ni ishu ya thamani ya Sh100 bilioni iliyonayo Yanga baada ya kutangazwa...
HABARI ZA SIMBA

KWA MAGORI, BARBARA NA MKWABI…SAPRIZI MPYA SIMBA HII HAPA…

0
DIRISHA la usajili lilifungwa usiku wa jana, huku kukiwa na sapraizi kubwa kwa klabu ya Simba baada kuwatema mastraika wawili walioibeba timu hiyo msimu...
Meridianbet

MAPINDUZI YA KASINO MTANDAONI KUPITIA MERIDIAN BONANZA…

0
Meridianbet imeleta mapinduzi makubwa katika ulimwengu wa michezo ya kubashiri kwa kuzindua Meridian Bonanza, mchezo mpya wa kasino mtandaoni unaovunja mipaka ya ushindi na...