LATEST ARTICLES

YANGA KUNGIA KAMBINI DESEMBA 15

0
OFISA Habari wa Yanga, Ali Kamwe, amesema kikosi cha timu hiyo kimepewa mapumziko rasmi na kinatarajiwa kurejea kambini Desemba 15 mwaka huu kuendelea na...

SIMBA HAIJAPOTEZA DIRA YAKE, AHMEDY ALLY

0
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, amewatoa hofu mashabiki na wanachama wa klabu hiyo akisisitiza kuwa timu bado ipo...

PEDRO AUWASHA MOTO YANGA, AKABIDHI RIPOTI NZITO

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Pedro Gocalves ameanza kufanya yake mapema baada ya kuyawasilisha maagizo rasmi kwa uongozi juu ya maboresho anayoyahitaji katika dirisha dogo...

PATA 10% YA HASARA YAKO KILA UKICHEZA WIN&GO

0
Mwezi wa Disemba umejaa fursa za kipekee kwa wapenzi wa michezo ya kasino. Meridianbet inakuletea Win&Go na ofa ya kurejeshewa 10% ya hasara zako kila siku. Hii inamaanisha...

DAU LAKO, UTAJIRI WAKO LEO NA UEFA

0
Kama kawaida michuano ya ligi barani Ulaya inazidi kupamba moto ambapo Meridianbet inahakikisha kuwa huondoki patupu. Suka jamvi lako na ubashiri mechi zote hapa...

HAMZA AFANYIWA UPASUAJI, SIMBA YAPATA TUMAINI

0
BEKI wa kati wa Simba, Abdulrazack Hamza, hatimaye amekamilisha matibabu ya upasuaji yaliyofanyika nchini Morocco, hatua inayompa matumaini mapya ya kurejea uwanjani baada ya...

DUBE KUBEBESHWA MAJUKUMU MAZITO, PEDRO ASEMA

0
KOCHA mkuu wa Yanga, Pedro Gocalves , ameibuka na kufunguka juu ya kiwango cha mshambuliaji wake, Prince Dube, amesema kuwa bado anamwamini lakini sasa...

KIUNGO WA YANGA ATEMWA NA IVORY COST

0
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua, ameangukia panga baada ya kuachwa kwenye kikosi cha mwisho cha Ivory Coast kitakachoshiriki AFCON 2025, licha ya kiwango...

SELEMANI MWALIMU AONDOLEWA KIKOSINI

0
MSHAMBULIAJI wa Wydad Casablanca wa Morocco, Seleman Mwalimu, anayekipiga Simba kwa mkopo, ameondolewa kwenye kikosi cha Taifa Stars kitakachoshiriki Fainali za AFCON 2025 nchini...

USHINDI UNAANZIA HAPA NYUMBANI

0
Nafasi ya ushindi hii hapa na wakali wa Meridianbet ambapo kupitia promosheni ya Beti Online unaweza ukaondoka na Samsung A26. Weka dau lako kuanzia...