WHAT'S NEW
- All
- Apple
- Azam FC
- B
- BIashara United
- Burudani
- C
- CAF
- Cecafa Cup
- CHAN 2024
- Entertainment
- epl
- EURO 2020
- FA Cup
- Fashion
- Featured
- Gadgets
- gazeti la championi
- Gazeti la Championi leo
- Gazeti la Mwanaspoti
- Gazeti la Mwanaspoti leo
- Gazeti la Spoti Xtra
- Geita Gold FC
- Habar za Usajili Simba
- Habari za michezo
- Habari za Simba
- Habari za Simba Leo
- Habari za Usajili
- Habari za usajili Bongo
- Habari za usajili Simba leo
- Habari za Usajili Yanga
- Habari za Yanga
- Habari za Yanga Leo
- Infinix
- Internet
- Kagame Cup
- Kaizer Chiefs
- Kikosi cha Simba
- KIkosi cha Yanga
- Kikosi cha Yanga leo
- kimataifa
- KMC FC
- Ligi Kuu
- M
- magazeti ya leo
- Magazeti ya michezo
- Magazeti ya Michezo Leo
- MAGE
- Makala
- Matokeo ya Simba
- Mechi ya Leo Ligi Kuu
- Mechi ya Yanga
- Mechi za Leo Ligi Kuu
- Mechi za Yanga
- Meridianbet
- mic
- mich
- Michezo
- Michezo Bongo
- Michezo Soka la Bongo
- MIVH
- Mwanaspoti leo
- Namungo FC
- NBC Premier League
- New Look 2015
- news
- Ratiba Ligi Kuu Bara
- Ratiba ya Mechi za Leo Bongo
- Ratiba ya Mechi za Ligi Kuu Bongo
- Ratiba ya Simba
- Ratiba ya Yanga Ligi Kuu
- Serengeti Girls
- Simba SC
- Singida Big Stars FC
- Street Fashion
- Style Hunter
- Taarifa za Simba
- Taarifa za Simba Leo
- Taarifa za Yanga
- Taarifa za Yanga leo
- Taifa Stars
- Tech
- TECNO
- Tetesi za usajili
- Tetesi za usajili Bongo
- Tetesi za usajili Simba
- Tetesi za usajili Yanga
- Travel
- Twiga Stars
- Usajili wa Simba
- Usajili wa Yanga
- video
- Vogue
- Y
- YAN
- yanga
- Yanga SC
AZAM FC WAMSHUSHIA LAWAMA MWAMUZI WA JANA…WADAI IMETOSHA…WAHOJI KWA NINI KILA...
ACCESSORIES
KUELEKEA MECHI YA KESHO ….FEI TOTO AIPIGA ‘DONGO’ HILI LA MWAKA...
ZIKIWA ZIMESALIA SIKUU CHACHE LIGI KURUDI TENA…’PRINCE DUBE’ KAIBUKA NA...
WINDOWS PHONE
KUHUSU KUCHEZA NNJE YA NCHI…MANULA AVUNJA UKIMYA…ATAJA CHANGAMOTO ANAYOPITIA…
LATEST ARTICLES
TIMES FM KUTANGAZA MUBASHARA KAGAME CUP, KUANZA SEPTEMBA 2
Dar es Salaam. Msimu mpya wa kombe la Kagame (Kagame Cup) unaanza leo, Septemba 2, 2025 kwa mechi mbili kuchezwa kwenye uwanja wa Major General Isamuhyo, Dar es Salaam, mechi hizo zikitarajiwa kutangazwa mubashara na kituo cha radio cha Times FM. Times FM imeingia ubia na Baraza la Soka Afrika Mashariki na Kati ( Cecafa) kutangaza mashindano hayo yanayoanza Septemba 2-15 jijini...
MWISHOOO….AZAM WAGONGELEA MSUMARI KAULI YA SIMBA KWA FEI TOTO….
KWA mara ya kwanza, Klabu ya Azam, imefunguka juu ya sakata zima la kiungo mshambuliaji wake, Feisal Salum, ikisema hakuna klabu yoyote ya ndani iliyopeleka ofa, wala yeye mwenyewe kuomba kuondoka, kabla ya kuamua kumwongeza mkataba wa mwaka mmoja. Azam imesema mkataba huo utamfanya alipwe mshahara mkubwa zaidi kuliko wachezaji wote wa ndani na nje ya nchi wanaocheza soka hapa...
KANUNI MPYA TFF….SIMBA, YANGA KUCHEZESHWA NA REFA KUTOKA NNJE…MAPRO WOTE RUKSA…
VIGOGO vya soka nchini, Simba, Yanga na Azam FC wamelainishwa mambo katika ishu za usajili, lakini wakabanwa kwa upande mwingine katika Ligi Kuu Bara na michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) kwa msimu mpya wa 2025-26. Msimu huo unatarajiwa kuzinduliwa na mechi ya Ngao ya Jamii itakayopigwa Septemba 16 Kwa Mkapa ikizikutanisha Simba na Yanga kabla ya Ligi Kuu kuanza...
BAADA YA KAMBI YA MISRI KUISHA…FADLU KAKUNA KICHWA WEE…KISHA AKASEMA HAPA BADO…
KATI ya vitu ambavyo kocha wa Simba, Fadlu Davids vinampasua kichwa ikiwa ni siku chache tu kabla ya kuanza msimu mpya wa 2025/26 ni pamoja na mchezaji mwenye sifa ya kuamua mchezo, ambapo katika mahojiano yake kabla ya kurejea Dar alitumia neno la Kiingereza ‘X-Factor’. Inafahamika kwamba mchezaji anayemtaka Fadlu ni mtu anatakayecheza pale kwenye eneo la kiungo mshambuliaji akiwa...
HAPPY HOUR KUWASHA MOTO KASINO MTANDAONI YA MERIDIANBET…..
Dunia ya kasino mtandaoni imejaa promosheni nyingi, lakini kuna wakati fulani ambapo Meridianbet huinua mizani na kuwasha moto wa kipekee. Hapo ndipo inapokuja Happy Hour Zombie Apocalypse Free Spins, shoo halisi ya burudani na ushindi kwa kila mpenzi wa michezo ya kasino. Kila Jumanne na Alhamisi, wachezaji wa Meridianbet wanapata nafasi ya kujishindia ofa kubwa kwenye mchezo maarufu wa Zombie...
OHHH….UMESIKIA YA FADLU HUKO😂😂 …JAMAA BADO ANATAKA MSHAMBULIAJI…AITAJA YANGA…
LICHA ya kocha Fadlu Davids, kusifu usajili uliofanyika, bado amesema anahitaji mshambuliaji mmoja mwenye uwezo wa kufanya maamuzi binafsi mbele ya lango la pinzani. Akizungumza kutoka nchini Misri mara baada ya kumalizika mchezo wao wa kirafiki dhidi ya Wadi Degla SC ya nchini humo uliochezwa juzi, Fadlu, alisema msimu unaokuja watahitaji kufanya vyema kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika...
PAMOJA NA OFA YA BIL 2 MEZANI ….HIZI HAPA SABABU ZA NDAANI KABISA MZIZE KUBAKI YANGA…
KELELE na tetesi nyingi zilizokuwa zikimuhusisha mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kutakiwa na timu mbalimbali za ndani na nje ya Afrika, zimezimwa rasmi na klabu hiyo baada ya kutangaza itaendelea kuwa naye, huku sababu ya uongozi kufanya uamuzi huo ukibainika. Zilitajwa timu mbalimbali kubwa barani Afrika ikiwamo Zamalek ya Misri, Wydad Casablanca (Morocco) na Kaizer Chiefs (Afrika Kusini) kwamba zinaiwinda...
BAADA YA RATIBA KUTOKA…HIZI HAPA TAREHE ZOTE ZA DABI KWA MSIMU HUU….YANGA KAMA KAWA..
RATIBA ya Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC 2025/26 kwa sasa ipo wazi. Ni Septemba 17 2025 kivumbi kinarejea na mabingwa watetezi wakiwa ni Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Romain Folz. Hii hapa ratiba ya mechi za Dabi ndani ya ligi kwa msimu wa 2025/26 namna hii:- Watani wa jadi Yanga SC na Simba SC kuna dakika 180 ndani ya...
NANI UNAMPA NAFASI YA USHINDI LEO NA MERIDIANBET?…..
Wakali wa ubashiri leo hii wanakukaribisha uweze jamvi lako la uhakika hapa kwani mechi nyingi zipo uwanjani, kuanza kule Uingereza, Ujerumani, Italia, Ufaransa na Duniano kote zinapigwa. Jisajili na ubashiri hapa. Mzigo wa kutosha upo Italia kwani SERIE A itaendelea Atalanta BC atakuwa mgeni wa Parma Calcio ambao kushinda mechi hii ya leo wana ODDS 4.20 kwa 1.89. Tofauti yao...
MERIDIANBET INAKUPA FURSA YA KUSHINDA LEO….
Je unajua kuwa leo hii unaweza kuanza ushindi wako na Meridianbet siku ya leo kwa kubashiri mechi za kufuzu Europa siku ya leo. Mechi kibao za ushindi zipo sasa unangoja nini?. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Kivumbi kitawaka mechi ya Dynamo Kyiv dhidi ya Maccabi Tel Aviv FC ya kule Israel wakati mwenyeji yeye anakipiga kule Ukrain. Patawaka...