LATEST ARTICLES

GAMONDI:- TUTAWAFUNGA SIMBA KWA TAHADHARI….HUWA WANAKAMIA SANA MECHI HII…

0
Habari za Simba leo

KOCHA Mkuu wa Yanga , Miguel Gamondi ameonekana bado anahitaji kuwa makini mbele ya Simba kwa kutumia muda wa kutazama michezo yote mikubwa waliocheza wapinzani wao hivi karibuni. Hatua hiyo kuelekea katika mchezo wa Kariakoo Derby dhidi ya Wekundu wa Msimbazi hao kwa kuhitaji msimu huu kuvuna alama zote sita zile za mzunguko wa kwanza walizoshida bao 5-1 na Jumamosi...

HII HAPA SLOT INAYOKUPA MTONYO KILA HATUA NDANI YA MERIDIANBET CASINO…

0
Meridianbet

Kubwa Zaidi kutoka Meridianbet ni promosheni ya Expanse ambayo inahusu michezo ya Kasino ya Mtandaoni, kupitia shindano hili unaweza kushinda mpaka 1,250,000/= TZS ukicheza sloti na michezo ya kasino kutoka kwa mtoa huduma wa Expanse. Jisajili Meridianbet kama bado ufurahie promosheni hii yenye kukupa bonasi za kasino kibao. Kila unapotembelea tovuti ya Meridianbet Kasino unakuwa umetimiza hatua ya kwanza ya...

NYOTA WA BRAZIL AREJEA UWANJANI AKIWA NA MIAKA 58…MNAOSEMA SAIDO MZEE MPO WAPI?

0
NYOTA WA BRAZIL AREJEA UWANJANI AKIWA NA MIAKA 58...MNAOSEMA SAIDO MZEE MPO WAPI?

'Jobe, Fredy ni usajiri mbovu kwa @simbasctanzania , Saido umri umeenda'' - Mzee Mwenda Nyota wa zamani wa Brazil na mshindi wa kombe la Dunia 1994 Romario ametangaza kurejea tena uwanjani kwenye soka la ushindani. Romaro kwa sasa ana umri wa miaka 58 na amejiunga na timu ya America of Rio de Janeiro

MSAUZI KUPEWA U-CEO SIMBA….KAJULA AANZA KUAGA WACHEZAJI….ISHU NZIMA IKO HIVI…

0
Habari za Simba SC

UONGOZI wa Simba wapo kwenye mchakato wa kutafuta Mtendaji Mkuu kutoka Afrika Kusini kwa ajili ya kuja kuchukuwa nafasi ya Iman Kajula ambaye amekubalia kuachia ngazi. Hatua hiyo ni baada ya hivi karibuni kufanyika kikao kizito kutathimini mikakati na mwenendo mbaya wa timu hiyo kwa sasa. Maamuzi yamefanyika tayari Mtendaji Mkuu Kajula amekubali kuachia nafasi yake na klabu inatarajia kumleta CEO...

ZA NDAAANIII KABISA….BARBARA , MKWABI KUCHUKUA NAFASI YA TRY AGAIN SIMBA…

0
Habari za Simba leo

ALIYEKUWA Mtendaji Mkuu na Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Barbara Gonzalez na Sued Mkwabi wametajwa mmoja wapo huenda akaja kuchukuwa nafasi ya Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Simba. Hatua hiyo ni baada ya baadhi ya viongozi wa Simba wako katika kikaango huku wakipewa mtihani wa mwisho kujitathimini kulingana na mwenendo mbaya wa timu hiyo. Hatua hiyo baada ya kikao kilichofanyika...

BENCHIKHA:- UKIACHANA NA YANGA…TANZANIA NZIMA INASHIDA YA WASHAMBULIAJI…

0
Habari za Simba leo

KOCHA Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha amefunguka na kusema amegundua tatizo la kumalizia (ushambuliaji ) ni janga la nchini kwa sasa kulingana na alivyoona timu nyingi katika Ligi Kuu Tanzania Bara . Amesema kazi kubwa ni kuhakikisha anaendelea kuwapa mbinu wachezaji wake kuelekea mechi zilizosalia ikiwemo mchezo wa Kariakoo Derby dhidi ya Yanga utakaochezwa jumamosi hii. Kikosi cha Simba kipo Visiwani...

MAFAZA WAIBEBA SIMBA KWA MKAPA…GAMONDI ATAMBIA REKODI YA 5G…

0
Gazeti la Mwanaspoti la leo

Pitia ukurasa wa mbele wa gazeti la leo la 18/4/2024 la Mwanaspoti kama lilvyoandikwa, kuchapishwa na kusambazwa na MCL.

EDO:- VIONGOZI SIMBA WANARUDIA SANA MAKOSA ….HAWAJUI TATIZO LILIPO..

0
Habari za Simba leo

Uongozi wa Simba SC umeendelea kupewa ushauri na kukosolewa kwa baadhi ya mambo ambayo yanadaiwa kuwa chachu ya kushindwa kufikia malengo wanayojiwekea kila msimu katika Michuano ya ndani na ile ya Kimataifa. Simba SC kwa misimu miwili mfululizo imeshindwa kurejesha ubingwa wa Tanzania Bara uliopotelea mikononi mwa watani zao wa jadi Young Africans, huku ikishindwa kuvuka hatua ya Robo Fainali...

AZIZ KI AWABURUZA MUDATHIR NA BACCA…AJISHINDIA MAMILION KUTOKA KWA WADHAMINI…IPO HIVI

0
Habari za Yanga leo

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga SC, Stehpane Aziz Ki ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki wa Yanga kwa mwezi Machi. Aziz amewashinda beki Ibrahim Bacca na kiungo Mudathir Yahya ambao ameingia nao Fainali., Stehpane Aziz Ki atakabidhiwa kitita cha shilingi milioni 3 kutoka kwa wadhamini wa tuzo.

STAA YANGA:- PACOME ANATUMIA NGUVU NYINGI…CHAMA ANATUMIA AKILI NYINGI…ANAMCHAMBUA HADI KIPA

0
STAA YANGA:- PACOME ANATUMIA NGUVU NYINGI...CHAMA ANATUMIA AKILI NYINGI...ANAMCHAMBUA HADI KIPA

Staa wa zamani wa Yanga, Idd Moshi, ameingia katika mjadala ambao umekuwa ukiendelea tangu msimu huu uanze kwa mashabiki kila mmoja akiwalinganisha kwa mtazamo wake viungo hodari nchini, Clatous Chama wa Simba na Pacome Zouzoua wa Yanga. Viungo vipenzi vya mashabiki wa soka, Pacome na Chama, kila mmoja amefunga mabao saba kwenye Ligi Kuu Bara, na wote ni muhimu kwenye...