WHAT'S NEW
- All
- Apple
- Azam FC
- B
- BIashara United
- Burudani
- C
- CAF
- Cecafa Cup
- Entertainment
- epl
- EURO 2020
- FA Cup
- Fashion
- Featured
- Gadgets
- gazeti la championi
- Gazeti la Championi leo
- Gazeti la Mwanaspoti
- Gazeti la Mwanaspoti leo
- Gazeti la Spoti Xtra
- Geita Gold FC
- Habar za Usajili Simba
- Habari za michezo
- Habari za Simba
- Habari za Simba Leo
- Habari za Usajili
- Habari za usajili Bongo
- Habari za usajili Simba leo
- Habari za Usajili Yanga
- Habari za Yanga
- Habari za Yanga Leo
- Infinix
- Internet
- Kagame Cup
- Kaizer Chiefs
- Kikosi cha Simba
- KIkosi cha Yanga
- Kikosi cha Yanga leo
- kimataifa
- KMC FC
- Ligi Kuu
- M
- magazeti ya leo
- Magazeti ya michezo
- Magazeti ya Michezo Leo
- MAGE
- Makala
- Matokeo ya Simba
- Mechi ya Leo Ligi Kuu
- Mechi ya Yanga
- Mechi za Leo Ligi Kuu
- Mechi za Yanga
- Meridianbet
- mic
- mich
- Michezo
- Michezo Bongo
- Michezo Soka la Bongo
- MIVH
- Mwanaspoti leo
- Namungo FC
- NBC Premier League
- New Look 2015
- news
- Ratiba Ligi Kuu Bara
- Ratiba ya Mechi za Leo Bongo
- Ratiba ya Mechi za Ligi Kuu Bongo
- Ratiba ya Simba
- Ratiba ya Yanga Ligi Kuu
- Serengeti Girls
- Simba SC
- Singida Big Stars FC
- Street Fashion
- Style Hunter
- Taarifa za Simba
- Taarifa za Simba Leo
- Taarifa za Yanga
- Taarifa za Yanga leo
- Taifa Stars
- Tech
- TECNO
- Tetesi za usajili
- Tetesi za usajili Bongo
- Tetesi za usajili Simba
- Tetesi za usajili Yanga
- Travel
- Twiga Stars
- Usajili wa Simba
- Usajili wa Yanga
- video
- Vogue
- Y
- YAN
- yanga
- Yanga SC
AZAM WAIFANYIA JANJA TFF KUHUSU ISHU YA DABO
ACCESSORIES
NADO WA AZAM FC AINGIA ANGA ZA YANGA
HUKO AZAM FC HAKUNA UTANI TENA
WINDOWS PHONE
HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOSHUKA DIMBANI DHIDI YA MTIBWA SUGAR
LATEST ARTICLES
TRY AGAIN ALIVYOONGOZA ‘UJASUSI’ SIMBA WAKIMVAA MWARABU KESHOKUTWA…
UONGOZI wa Klabu ya Simba umeanza maandalizi mapema kwa ajili ya mchezo wao wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry, utakaochezwa Aprili 2, 2025, nchini Misri. Hatua hiyo imekuja baada ya mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Salim Abdallah Try Again, kutembelea Misri hivi karibuni kwa ajili ya maandalizi ya awali. Akiwa nchini humo, alifika...
KWA YANGA HII HAMDI HUMWAMBII KITU HUKO YANGA….HII HAPA ‘MIPLANI’ YAKE YA ‘KUUA’..
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hamdi Miloud, amepongeza juhudi kubwa zinazofanywa na wachezaji wake kuhakikisha wanapata matokeo mazuri uwanjani, akisisitiza kuwa hali hiyo inapaswa kuendelea kutokana na ushindani mkali uliopo kwenye Ligi Kuu Tanzania. Miloud, ambaye alitwaa tuzo ya Kocha Bora wa Februari, aliongoza Yanga katika mechi tano ndani ya mwezi huo, ambapo walishinda michezo minne na kutoka sare moja dhidi...
NAFASI YA KUSHINDA IPO MERIDIANBET…
Mechi za kufuzu kombe la Dunia zipo leo na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Poland atamkaribisha kwake Malta ambao walipoteza mechi yao iliyopita, huku wenyeji wao wakishinda mechi ya kwanza. Takwimu zinaonesha kuwa timu hizi mara ya mwisho kukutana, mwenyeji aliondoka...
KISA KUGOMEA DABI…..YANGA HUENDA KIKAWAKUTA KILICHOWAKUTA MIAKA 60 ILIYOPITA…
MECHI ya watani wa jadi, Yanga na Simba maarufu kama Dabi ya Kariakoo, imeota mbawa baada ya kuahirishwa na Bodi ya Ligi kwa sababu ya malalamiko ya Simba kuhusiana na sakata la kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho kabla ya mchezo. Mchezo huo ulipangwa kufanyika Machi 8 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, ikiwa ni marudio katika duru la pili msimu huu...
KISA SIMBA…YANGA KULIPA MAMILIONI YA PESA FIFA….BARUA YATUA KWA MABOSI TFF….
MASHABIKI wa Simba wanachekelea hatua ya mchezo dhidi ya Yanga kuahirishwa, wanawatambia wenzao wa Yanga, kwamba mechi itapangwa, mtapigiwa simu moja tu kutoka juu na mtacheza, lakini wasichojua ni kwamba Wananchi hawatanii na wamejipanga kwa vita mpya, wakikubali kutumia Sh121 milioni kuitafuta haki FIFA. Unaposoma taarifa hii tambua kwamba, Yanga imeshaweka kila kitu sawa kufungua kesi rasmi katika Mahakama ya...
NAFASI YA KUSHINDA IPO MERIDIANBET….ODDS ZA UHAKIKA LEO HIZI HAPA…
Mechi za kufuzu kombe la Dunia zipo leo na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Poland atamkaribisha kwake Malta ambao walipoteza mechi yao iliyopita, huku wenyeji wao wakishinda mechi ya kwanza. Takwimu zinaonesha kuwa timu hizi mara ya mwisho kukutana, mwenyeji aliondoka...
KWA BALAA HILI LA MPANZU HUKO SIMBA….BALUA AJITAFAKARI AISEEE….
EDWIN Balua alikuwa miongoni mwa wachezaji waliotarajiwa kung’ara ndani ya kikosi cha Simba SC msimu huu, hasa baada ya kuonyesha kiwango bora chini ya Juma Mgunda mwishoni mwa msimu uliopita 2023/24. Uwezo wake wa kucheza nafasi tofauti kwenye safu ya ushambuliaji ulimfanya awe mmoja wa wachezaji waliokuwa na nafasi nzuri ya kuendelea kung’ara. Hata hivyo, mabadiliko ya mfumo wa uchezaji...
MANULA YUKO WAPI SIMBA…? UKWELI WOTE WA MAMBO HUU HAPA…HAJATIA MGUU…..
YUKO wapi Manula? Kuna nini kinaendelea? Ni maswali yanayosumbua kwa sasa vichwani mwa mashabiki wa soka baada ya kipa huyo tegemeo wa timu ya Taifa kutoonekana uwanjani kwa muda mrefu. Baada ya kuwepo kwa tetesi za kipa Moussa Camara kuumia katika mechi dhidi ya Azam, wengi waliamini ilikuwa nafasi ya Manula kurudi langoni. Hata hivyo, katika pambano dhidi ya Coastal Union,...
KUWA MILIONEA NA MERIDIANBET PEKEE
Mechi kali za Mataifa Duniani leo hii zinaendelea na Meridianbet wapo tayari kuhakikisha hawakuachi hivyo hivyo, na ndio maana wameamua kukupatia ODDS za kibabe na machaguo zaidi ya 1000 kwenye mechi za leo. Denmark baada ya kumpiga Portugal bao moja, leo hii atakuwa ugenini kuonesha ubabe wake tena mbele ya vijana hao ambao wapo chini ya kocha mkuu Roberto Martinez...
BODABODA WA KARIAKOO WANUFAIKA NA UJIO WA MERIDIANBET
Meridianbet imeendelea na utaratibu wake kama kawaida wa kurejesha kwenye jamii kile kidogo ambacho wanakipata na safari hii walijikita kwenye kugawa Reflectors na helmet kwa bodaboda. Reflectors hizo wamezigawa kwa madereva wa bodaboda katika eneo la Kariakoo, kwaajili ya kuhamasisha usalama wa watumiaji wa barabara na kupunguza ajali za barabarani zinazotokana na mwonekano mdogo, hasa wakati wa usiku. Reflectors hizi zitawasaidia...