LATEST ARTICLES

TIMES FM KUTANGAZA MUBASHARA KAGAME CUP, KUANZA SEPTEMBA 2

0
Habari za Michezo leo

Dar es Salaam. Msimu mpya wa kombe la Kagame (Kagame Cup) unaanza leo, Septemba 2, 2025 kwa mechi mbili kuchezwa kwenye uwanja wa Major General Isamuhyo, Dar es Salaam, mechi hizo zikitarajiwa kutangazwa mubashara na kituo cha radio cha Times FM. Times FM imeingia ubia na Baraza la Soka Afrika Mashariki na Kati ( Cecafa) kutangaza mashindano hayo yanayoanza Septemba 2-15 jijini...

MWISHOOO….AZAM WAGONGELEA MSUMARI KAULI YA SIMBA KWA FEI TOTO….

0
Habari za Michezo leo

KWA mara ya kwanza, Klabu ya Azam, imefunguka juu ya sakata zima la kiungo mshambuliaji wake, Feisal Salum, ikisema hakuna klabu yoyote ya ndani iliyopeleka ofa, wala yeye mwenyewe kuomba kuondoka, kabla ya kuamua kumwongeza mkataba wa mwaka mmoja. Azam imesema mkataba huo utamfanya alipwe mshahara mkubwa zaidi kuliko wachezaji wote wa ndani na nje ya nchi wanaocheza soka hapa...

KANUNI MPYA TFF….SIMBA, YANGA KUCHEZESHWA NA REFA KUTOKA NNJE…MAPRO WOTE RUKSA…

0
Habari za Michezo leo

VIGOGO vya soka nchini, Simba, Yanga na Azam FC wamelainishwa mambo katika ishu za usajili, lakini wakabanwa kwa upande mwingine katika Ligi Kuu Bara na michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) kwa msimu mpya wa 2025-26. Msimu huo unatarajiwa kuzinduliwa na mechi ya Ngao ya Jamii itakayopigwa Septemba 16 Kwa Mkapa ikizikutanisha Simba na Yanga kabla ya Ligi Kuu kuanza...

BAADA YA KAMBI YA MISRI KUISHA…FADLU KAKUNA KICHWA WEE…KISHA AKASEMA HAPA BADO…

0
Habari za Simba leo

KATI ya vitu ambavyo kocha wa Simba, Fadlu Davids vinampasua kichwa ikiwa ni siku chache tu kabla ya kuanza msimu mpya wa 2025/26 ni pamoja na mchezaji mwenye sifa ya kuamua mchezo, ambapo katika mahojiano yake kabla ya kurejea Dar alitumia neno la Kiingereza ‘X-Factor’. Inafahamika  kwamba mchezaji anayemtaka Fadlu ni mtu anatakayecheza pale kwenye eneo la kiungo mshambuliaji akiwa...

HAPPY HOUR KUWASHA MOTO KASINO MTANDAONI YA MERIDIANBET…..

0
Meridianbet

Dunia ya kasino mtandaoni imejaa promosheni nyingi, lakini kuna wakati fulani ambapo Meridianbet huinua mizani na kuwasha moto wa kipekee. Hapo ndipo inapokuja Happy Hour Zombie Apocalypse Free Spins, shoo halisi ya burudani na ushindi kwa kila mpenzi wa michezo ya kasino. Kila Jumanne na Alhamisi, wachezaji wa Meridianbet wanapata nafasi ya kujishindia ofa kubwa kwenye mchezo maarufu wa Zombie...

OHHH….UMESIKIA YA FADLU HUKO😂😂 …JAMAA BADO ANATAKA MSHAMBULIAJI…AITAJA YANGA…

0

LICHA ya kocha Fadlu Davids, kusifu usajili uliofanyika, bado amesema anahitaji mshambuliaji mmoja mwenye uwezo wa kufanya maamuzi binafsi mbele ya lango la pinzani. Akizungumza kutoka nchini Misri mara baada ya kumalizika mchezo wao wa kirafiki dhidi ya Wadi Degla SC ya nchini humo uliochezwa juzi, Fadlu, alisema msimu unaokuja watahitaji kufanya vyema kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika...

PAMOJA NA OFA YA BIL 2 MEZANI ….HIZI HAPA SABABU ZA NDAANI KABISA MZIZE KUBAKI YANGA…

0
Habari za Yanga leo

KELELE na tetesi nyingi zilizokuwa zikimuhusisha mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kutakiwa na timu mbalimbali za ndani na nje ya Afrika, zimezimwa rasmi na klabu hiyo baada ya kutangaza itaendelea kuwa naye, huku sababu ya uongozi kufanya uamuzi huo ukibainika. Zilitajwa timu mbalimbali kubwa barani Afrika ikiwamo Zamalek ya Misri, Wydad Casablanca (Morocco) na Kaizer Chiefs (Afrika Kusini) kwamba zinaiwinda...

BAADA YA RATIBA KUTOKA…HIZI HAPA TAREHE ZOTE ZA DABI KWA MSIMU HUU….YANGA KAMA KAWA..

0
Ligi Kuu Tanzania 2023/24

RATIBA ya Ligi Kuu Tanzania Bara ya NBC 2025/26 kwa sasa ipo wazi. Ni Septemba 17 2025 kivumbi kinarejea na mabingwa watetezi wakiwa ni Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Romain Folz. Hii hapa ratiba ya mechi za Dabi ndani ya ligi kwa msimu wa 2025/26 namna hii:- Watani wa jadi Yanga SC na Simba SC kuna dakika 180 ndani ya...

NANI UNAMPA NAFASI YA USHINDI LEO NA MERIDIANBET?…..

0
Meridianbet

Wakali wa ubashiri leo hii wanakukaribisha uweze jamvi lako la uhakika hapa kwani mechi nyingi zipo uwanjani, kuanza kule Uingereza, Ujerumani, Italia, Ufaransa na Duniano kote zinapigwa. Jisajili na ubashiri hapa. Mzigo wa kutosha upo Italia kwani SERIE A itaendelea Atalanta BC  atakuwa mgeni wa Parma Calcio ambao kushinda mechi hii ya leo wana ODDS 4.20 kwa 1.89. Tofauti yao...

MERIDIANBET INAKUPA FURSA YA KUSHINDA LEO….

0
Meridianbet

Je unajua kuwa leo hii unaweza kuanza ushindi wako na Meridianbet siku ya leo kwa kubashiri mechi za kufuzu Europa siku ya leo. Mechi kibao za ushindi zipo sasa unangoja nini?. Ingia kwenye akaunti yako na ubashiri sasa. Kivumbi kitawaka mechi ya Dynamo Kyiv dhidi ya Maccabi Tel Aviv FC ya kule Israel wakati mwenyeji yeye anakipiga kule Ukrain. Patawaka...