WHAT'S NEW
- All
- Azam FC
- Burudani
- CAF
- FA Cup
- Gadgets
- gazeti la championi
- Gazeti la Championi leo
- Gazeti la Mwanaspoti
- Gazeti la Mwanaspoti leo
- Gazeti la Spoti Xtra
- Geita Gold FC
- Habar za Usajili Simba
- Habari za michezo
- Habari za Simba
- Habari za Simba Leo
- Habari za Usajili
- Habari za usajili Bongo
- Habari za usajili Simba leo
- Habari za Usajili Yanga
- Habari za Yanga
- Habari za Yanga Leo
- Infinix
- Kikosi cha Simba
- kimataifa
- KMC FC
- Ligi Kuu
- magazeti ya leo
- Magazeti ya michezo
- Magazeti ya Michezo Leo
- Makala
- Matokeo ya Simba
- Mechi ya Leo Ligi Kuu
- Mechi ya Yanga
- Mechi za Leo Ligi Kuu
- Mechi za Yanga
- Meridianbet
- Michezo
- Michezo Bongo
- Michezo Soka la Bongo
- Mwanaspoti leo
- Namungo FC
- NBC Premier League
- news
- Ratiba Ligi Kuu Bara
- Ratiba ya Mechi za Leo Bongo
- Simba SC
- Singida Big Stars FC
- Taarifa za Simba
- Taarifa za Simba Leo
- Taarifa za Yanga
- Taarifa za Yanga leo
- Taifa Stars
- Tech
- Tetesi za usajili
- Tetesi za usajili Bongo
- Tetesi za usajili Simba
- Tetesi za usajili Yanga
- Usajili wa Simba
- Usajili wa Yanga
- video
- yanga
- Yanga SC
BREAKING:AZAM FC YAMALIZANA NA KIUNGO MZAMBIA KWA VIPIMO
ACCESSORIES
RASMI..UONGOZI AZAM FC WATAO TAMKO SAKATA LA KINA ‘SURE BOY’ …WAKUBALI...
AZAM FC :MECHI ZA YANGA NA SIMBA NI PRESHA,ILA HATUNA HOFU
WINDOWS PHONE
UEFA YAMPANGA REFA MWENYE BAHATI NA MADRID KUCHEZESHA FAINAL YA LIVERPOOL...
LATEST ARTICLES
WAHI CHAP PESA ZIPO HUKU NA MERIDIAN BET
Nani kukupa pesa Carabao? Je ni Chelsea, Manchester United, City, Westham au West Ham? Ingia Meridianbet sasa ubashiri na mabingwa hawa wa ODDS KUBWA Tanzania. Manchester United atacheza dhidi ya Crystal Palace katika dimba la Old Trafford. United ametoka kupata ushindi mwembamba mechi yake ya ligi huku Palace akitoa sare. Walipokutana United alishinda. ODDS ya ushindi kwa mashetani ni 1.64...
JEZI YA MTANZANIA YAUZWA UBELGIJI
Mbwana Ali Samatta anazaliwa Desemba 23 mwaka 1992 siku mbili kabla ya kuazimisha uzao wa Yesu Kristo, Anacheza soka la mtaani na baadaye wanalunyasi wakakiona kipaji chake, hakukaa sana TP Engrabee Mazembe wakainasa saini yake. Ndoto zake zikakamilika baada ya kujiunga na klabu ya KRC Genk na kuipa mafanikio timu hiyo mpaka sasa wameamua kuiuza jezi yake kwenye duka...
BREAKING NEWS : TANZANIA KUWA MWENYEJI WA AFCON 2027
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limepitisha ombi la pamoja la nchi za Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kwa mwaka 2027. Ni rasmi michuano hiyo itachezwa katika nchi hizo tatu.
IWE JUA IWE MVUA SIMBA AJA NA KAULI NGUMU DHIDI YA POWER DYNAMO
Klabu ya Simba SC, imesema iwe mvua iwe jua, lazima iwashushie kichapo Power Dynamos katika mchezo wa Klabu Bingwa Afrika utakaopigwa Jumapili, Oktoba 1, 2023 katika Uwanja wa Azam Comlex-Chamazi jijini Dar. Ahmed Ally ambaye ni Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, ameyasema hayo leo alipokuwa akizungumzia maandalizi yao kuelekea mchezo huo utakaoamua hatima yao ya kwenda makundi...
SIMBA CHAP SANA WAWAHI POWER DYNAMO
Kikosi cha Simba SC, leo Septemba 27, 2023 kimefanya mazoezi kwenye uwanja wa Azam Complex kwa ajili ya kuuzoea uwanja ambao watautumia Jumapili dhidi ya Power Dynamos mchezo wa Klabu Bingwa Afrika. Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amesema hilo leo Septemba 27, 2023 alipokuwa akiuzungumzia mchezo huo. "Kikosi leo kimefanya mazoezi kwenye Uwanja wa Azam Complex...
AZIZI KI ATOA TAMKO HILI KWA MASHABIKI
Kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Yanga, Aziz Stephanie Ki amewaita mashabiki wa timu hiyo kujitokeza uwanjani kuwasapoti wachezaji wao kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al-Merrikh. Mchezo huo wa marudiano unatarajiwa kupigwa Jumamosi, Septemba 30, 2023 katika Dimba la Azam Complex baada ya mchezo wa kwanza uliopigwa Rwanda, Yanga waliibuka na ushindi wa bao 2-0. “Kupewa jina langu...
BALEKE ATOA AAHADI HII JE ATATOBOA
Mshambuliaji wa Simba, Mkongomani, Jeane Baleke, ameahidi kuendelea kufunga mabao katika kila mchezo ili afanikishe malengo yake ya kufikisha mabao zaidi ya 20 ndani ya Ligi Kuu Bara msimu huu na kuwa mfungaji bora. Kauli hiyo imekuja ikiwa ni siku chache zimepita, tangu apige hat trick katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal Union, uliochezwa Uwanja wa Uhuru,...
AZIZI KI AFUNGUKA KILICHOMFELISHA MSIMU ULIOPITA,….. SASA MAMBO NI HIVI
Kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Yanga, Aziz Stephanie Ki amesema kuwa kilichomfanya asifanye vizuri msimu uliopita ilikuwa ni ugumu wa kuzoea mazingira mapya ya Tanzania baada ya kutoka ASEC Mimosas ya Ivory Coast. Msimu uliopita Aziz Ki alihusika katika mabao 13 ya Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC akifunga mabao 9 na kutoa assits 4. Msimu huu mpaka sasa akihusika...
AHMED ALLY : KWA HALI HII INABIDI TUVUKE MAKUNDI KWA NAMNA YEYOTE
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amesema kwa levo waliyofikia itakuwa ni aibu kwao kutofuzu hatua ya makundi hivyo, watafanya kila linalowezekana kuhakikisha wanashinda. Ahmed ameyasema hayo leo Septemba 27, 2023 alipokuwa akiuzungumzia mchezo wao wa Jumapili Oktoba 1, 2023 dhidi ya Power Dynamos utakaotoa hatma yao ya kwenda hatua ya Makundi. "Huu mchezo CAF wanauangalia, wanaangalia...
SIMBA NA MIPANGO MAALUM KWA MIQUISSONE
Uongozi wa Simba SC umeamua kumsuka Luis Miquisson ambaye ameanza kunoga kikosini amepewa ndinga kali ya kisasa, amehamishwa nyumba aliyokuwa amefikia pamoja na kukabidhiwa kwa mtaalamu spesho wa viungo kumnoa ili aendelee kumuweka fiti zaidi ya alipofikia sasa. Habari zinasema kwamba Simba SC wamepania kuonyesha ukubwa na utofauti na mtani wao Young Africans, kupitia mashindano ya African Football League kwani...