LATEST ARTICLES

MERIDIANBET YAGUSA MAISHA YA WAKAZI WA MAGOMENI NA MANZESE…

0
Meridianbet

Wakazi wa Magomeni na Manzese leo hii wameamka na neema kubwa sana baada ya kutembelewa na Meridianbet ambayo inafahamika kama Kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania. Wawakilishi kutoka Meridianbet walipeleka msaada wa mahitaji muhimu ya kila siku kwa wakali hao. Zoezi hili lililohusisha usambazaji wa bidhaa kama vyakula, sabuni, unga, mafuta ya kupikia, mchele na mahitaji mengine ya msingi limewalenga zaidi...

BILLION 1.5 ZIPO MEZANI KUKUPA USHINDI LEO…

0
Meridianbet

Je unajua kuna mzigo mkubwa 1.5 wa mgao ambao unakusubiri wewe tuu uweke dau lako na uingie kwenye mashindano ya LUKCY RUSH.  Cheza michezo inayoshiriki kwenye promosheni hii uwe kwenye washindi watakaotangzwa mwisho wa kampeni hii. Lucky Rush  inawapa washiriki nafasi ya kujionyesha kwenye Leaderboard, orodha ya washiriki wanaoongoza. Walioko juu zaidi watajipatia zawadi za kipekee na nafasi ya kipekee...

HALOPESA INAVYOKUPA BONUS YA 20% UKIWA NA MERIDIANBET….

0
Meridianbet

Watu makini wanaelewa thamani ya kila shilingi. Na sasa, Meridianbet inakuletea njia ya kuongeza kila unachoweka. Kwa kutumia Halopesa Push kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet, utapokea bonus ya 20% kila siku, inayoweza fika hadi TZS 50,000 kwa dau lako la kwanza. Fikiria hii kama motisha ya kila asubuhi, kuongeza nguvu kabla hujaweka dau lako la ushindi. Ni rahisi...

PAMOJA NA KUPATA UBINGWA WA FA JANA…NEEMA YAZIDI KUTUA YANGA…

0
Habari za Yanga leo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi ameizawadia Klabu ya Yanga shilingi milioni 100, kwa kutambua ushindi na mafanikio makubwa waliopata katika msimu wa mwaka 2024/2025. Rais Dk Mwinyi ameyasema hayo leo Juni 30, 2025 alipokutana na viongozi pamoja na wachezaji wa Yanga waliofika Ikulu kwa ajili ya kumkabidhi makombe matano ya michuano mbalimbali...

KIMKAKATI…..HIVI NDIVYO SIMBA ALIVYOCHANGIA KWA 100% YANGA KUTWAA UBINGWA MSIMU HUU..

0
habari za SIMBA NA YANGA

KIKOSI cha Yanga usiku wa jana kilikuwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani Zanzibar kumalizana na Singida Black Stars katika mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho, ikiwa ni siku chache tu tangu itoke kubeba taji la Ligi Kuu lililochangiwa kwa kiasi kikubwa na watani wao, Simba. Ndio, Yanga ilitwaa ubingwa huo wa Ligi kwa msimu wa nne mfululizo...

HIVI NDIVYO YANGA WALIVYOFUNGA MSIMU KIBABE JANA MBELE YA SINGIDA BS….

0
Habari za Yanga leo

DUKE Abuya na Clement Mzize, wamekata kiu ya mashabiki wa Yanga baada ya kufanikisha kutwaa Kombe la Shirikisho (FA) katika mchezo wa fainali uliofanyikwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Nyota hao wawili ndio waliotikisa nyavu za Singida Black Stars katika ushindi wa mabao 2-0 ilioupata Yanga. Abuya alikuwa wa kwanza kufunga bao dakika ya 39 akimalizia mpira uliookolewa na kipa...

ZA NDAAAANIII KABISA…..SIKU ZA MPANZU SIMBA ZAHESABIKA….TIMU ULAYA YAMFUNGIA KAZI…

0
Habari za Simba leo

WAKATI mashabiki na wapenzi wa Simba wakiendelea kujiuliza kilichowakuta katika pambano la Dabi ya Kariakoo kwa kulazwa mabao 2-0 na Yanga, kuna taarifa ya kushtua ambayo huenda wasingependa kuisikia kuhusu kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Ellie Mpanzu. Mpanzu ambaye ameibuka kuwa kipenzi cha mashabiki wa klabu hiyo kwa siku za hivi karibuni, inadaiwa anahesabu siku klabuni hapo kutokana na kunyemelewa...

MERIDIANBET YAKULETEA SUPER HELI NA ZAWADI YA SAMSUNG A25…

0
Meridianbet

Wachezaji wa mchezo maarufu wa Super Heli sasa wana nafasi ya kipekee ya kujishindia simu mpya ya kisasa aina ya Samsung A25, ikiwa ni promosheni ya kipekee iliyoanzishwa na Meridianbet, kampuni inayoongoza kwa michezo ya kubashiri na kasino mtandaoni nchini Tanzania. Super Heli ni moja ya michezo ya kasino mtandaoni inayozidi kupata umaarufu kwa kasi kutokana na muundo wake wa...

PROMOSHENI YA ERA OF 1000S KUKUTAJIRISHA SASA ….

0
Meridianbet

Mashindano ya Era of 1000s si tu mashindano ya kawaida bali ni mashindano ambayo yamekuja kwaajili ya kugeuza maisha yako wewe mteja wa Meridianbet. Utageuzaje maisha yako?. Ni kwa kucheza michezo mbalimbali ambayo inapatikana kwenye promosheni hii kwa dau lako ulipendalo pekee. Promosheni hii ya ERA OF 1000s imeanza jana na itaisha tarehe 29 mwezi Juni ambapo itakuwa ni ya...

GG&3+ KWA JUVENTUS VS MAN CITY INAKUPA MZIGO MARA 2

0
Meridianbet

Michuano ya kombe la Dunia kwa vilabu inazidi kuendelea ambapo Meridianbet kila siku wao wanatafuta namna pekee ya wewe kuweza kuondoka na mpunga wa maana kabisa na mechi hizi. Bashiri kwa GG&3+ mechi ya Juventus vs Man City  ushinde pesa mara 2 zaidi. Juventus ambao wana kocha mpya Igor Tudor wanahitaji kushinda taji hili lenye thamani kubwa baada za kumaliza...