WHAT'S NEW
- All
- Azam FC
- Burudani
- CAF
- Cecafa Cup
- Entertainment
- FA Cup
- Featured
- Gadgets
- gazeti la championi
- Gazeti la Championi leo
- Gazeti la Mwanaspoti
- Gazeti la Mwanaspoti leo
- Gazeti la Spoti Xtra
- Geita Gold FC
- Habar za Usajili Simba
- Habari za michezo
- Habari za Simba
- Habari za Simba Leo
- Habari za Usajili
- Habari za usajili Bongo
- Habari za usajili Simba leo
- Habari za Usajili Yanga
- Habari za Yanga
- Habari za Yanga Leo
- Infinix
- Kikosi cha Simba
- kimataifa
- KMC FC
- Ligi Kuu
- magazeti ya leo
- Magazeti ya michezo
- Magazeti ya Michezo Leo
- Makala
- Matokeo ya Simba
- Mechi ya Leo Ligi Kuu
- Mechi ya Yanga
- Mechi za Leo Ligi Kuu
- Mechi za Yanga
- Meridianbet
- Michezo
- Michezo Bongo
- Michezo Soka la Bongo
- Mwanaspoti leo
- Namungo FC
- NBC Premier League
- news
- Ratiba Ligi Kuu Bara
- Ratiba ya Mechi za Leo Bongo
- Simba SC
- Singida Big Stars FC
- Taarifa za Simba
- Taarifa za Simba Leo
- Taarifa za Yanga
- Taarifa za Yanga leo
- Taifa Stars
- Tech
- TECNO
- Tetesi za usajili
- Tetesi za usajili Bongo
- Tetesi za usajili Simba
- Tetesi za usajili Yanga
- Usajili wa Simba
- Usajili wa Yanga
- video
- yanga
- Yanga SC
BAADA YA SIMBA SC KUTEMA TONGE ZNZ….AZAM FC WAITUMBULIA MACHO YANGA...
ACCESSORIES
BAADA YA KUFUNGA GOLI LAKE LA KWANZA MSIMU HUU..DUBE AMCHIMBA MKWARA...
MZIKI WA AZAM FC WAMTISHA MSAUZI WA SINGIDA FG…KESHO UBISHI WOTE...
WINDOWS PHONE
OSCAR: TFF WANAJUA KILA KITU KUHUSU MORRISON,YANGA KUGOMEA MECHI NI SUALA...
LATEST ARTICLES
GAMONDI:- TUTAWAFUNGA SIMBA KWA TAHADHARI….HUWA WANAKAMIA SANA MECHI HII…
KOCHA Mkuu wa Yanga , Miguel Gamondi ameonekana bado anahitaji kuwa makini mbele ya Simba kwa kutumia muda wa kutazama michezo yote mikubwa waliocheza wapinzani wao hivi karibuni. Hatua hiyo kuelekea katika mchezo wa Kariakoo Derby dhidi ya Wekundu wa Msimbazi hao kwa kuhitaji msimu huu kuvuna alama zote sita zile za mzunguko wa kwanza walizoshida bao 5-1 na Jumamosi...
HII HAPA SLOT INAYOKUPA MTONYO KILA HATUA NDANI YA MERIDIANBET CASINO…
Kubwa Zaidi kutoka Meridianbet ni promosheni ya Expanse ambayo inahusu michezo ya Kasino ya Mtandaoni, kupitia shindano hili unaweza kushinda mpaka 1,250,000/= TZS ukicheza sloti na michezo ya kasino kutoka kwa mtoa huduma wa Expanse. Jisajili Meridianbet kama bado ufurahie promosheni hii yenye kukupa bonasi za kasino kibao. Kila unapotembelea tovuti ya Meridianbet Kasino unakuwa umetimiza hatua ya kwanza ya...
NYOTA WA BRAZIL AREJEA UWANJANI AKIWA NA MIAKA 58…MNAOSEMA SAIDO MZEE MPO WAPI?
'Jobe, Fredy ni usajiri mbovu kwa @simbasctanzania , Saido umri umeenda'' - Mzee Mwenda Nyota wa zamani wa Brazil na mshindi wa kombe la Dunia 1994 Romario ametangaza kurejea tena uwanjani kwenye soka la ushindani. Romaro kwa sasa ana umri wa miaka 58 na amejiunga na timu ya America of Rio de Janeiro
MSAUZI KUPEWA U-CEO SIMBA….KAJULA AANZA KUAGA WACHEZAJI….ISHU NZIMA IKO HIVI…
UONGOZI wa Simba wapo kwenye mchakato wa kutafuta Mtendaji Mkuu kutoka Afrika Kusini kwa ajili ya kuja kuchukuwa nafasi ya Iman Kajula ambaye amekubalia kuachia ngazi. Hatua hiyo ni baada ya hivi karibuni kufanyika kikao kizito kutathimini mikakati na mwenendo mbaya wa timu hiyo kwa sasa. Maamuzi yamefanyika tayari Mtendaji Mkuu Kajula amekubali kuachia nafasi yake na klabu inatarajia kumleta CEO...
ZA NDAAANIII KABISA….BARBARA , MKWABI KUCHUKUA NAFASI YA TRY AGAIN SIMBA…
ALIYEKUWA Mtendaji Mkuu na Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Barbara Gonzalez na Sued Mkwabi wametajwa mmoja wapo huenda akaja kuchukuwa nafasi ya Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa Simba. Hatua hiyo ni baada ya baadhi ya viongozi wa Simba wako katika kikaango huku wakipewa mtihani wa mwisho kujitathimini kulingana na mwenendo mbaya wa timu hiyo. Hatua hiyo baada ya kikao kilichofanyika...
BENCHIKHA:- UKIACHANA NA YANGA…TANZANIA NZIMA INASHIDA YA WASHAMBULIAJI…
KOCHA Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha amefunguka na kusema amegundua tatizo la kumalizia (ushambuliaji ) ni janga la nchini kwa sasa kulingana na alivyoona timu nyingi katika Ligi Kuu Tanzania Bara . Amesema kazi kubwa ni kuhakikisha anaendelea kuwapa mbinu wachezaji wake kuelekea mechi zilizosalia ikiwemo mchezo wa Kariakoo Derby dhidi ya Yanga utakaochezwa jumamosi hii. Kikosi cha Simba kipo Visiwani...
MAFAZA WAIBEBA SIMBA KWA MKAPA…GAMONDI ATAMBIA REKODI YA 5G…
Pitia ukurasa wa mbele wa gazeti la leo la 18/4/2024 la Mwanaspoti kama lilvyoandikwa, kuchapishwa na kusambazwa na MCL.
EDO:- VIONGOZI SIMBA WANARUDIA SANA MAKOSA ….HAWAJUI TATIZO LILIPO..
Uongozi wa Simba SC umeendelea kupewa ushauri na kukosolewa kwa baadhi ya mambo ambayo yanadaiwa kuwa chachu ya kushindwa kufikia malengo wanayojiwekea kila msimu katika Michuano ya ndani na ile ya Kimataifa. Simba SC kwa misimu miwili mfululizo imeshindwa kurejesha ubingwa wa Tanzania Bara uliopotelea mikononi mwa watani zao wa jadi Young Africans, huku ikishindwa kuvuka hatua ya Robo Fainali...
AZIZ KI AWABURUZA MUDATHIR NA BACCA…AJISHINDIA MAMILION KUTOKA KWA WADHAMINI…IPO HIVI
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Yanga SC, Stehpane Aziz Ki ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki wa Yanga kwa mwezi Machi. Aziz amewashinda beki Ibrahim Bacca na kiungo Mudathir Yahya ambao ameingia nao Fainali., Stehpane Aziz Ki atakabidhiwa kitita cha shilingi milioni 3 kutoka kwa wadhamini wa tuzo.
STAA YANGA:- PACOME ANATUMIA NGUVU NYINGI…CHAMA ANATUMIA AKILI NYINGI…ANAMCHAMBUA HADI KIPA
Staa wa zamani wa Yanga, Idd Moshi, ameingia katika mjadala ambao umekuwa ukiendelea tangu msimu huu uanze kwa mashabiki kila mmoja akiwalinganisha kwa mtazamo wake viungo hodari nchini, Clatous Chama wa Simba na Pacome Zouzoua wa Yanga. Viungo vipenzi vya mashabiki wa soka, Pacome na Chama, kila mmoja amefunga mabao saba kwenye Ligi Kuu Bara, na wote ni muhimu kwenye...