WHAT'S NEW
- All
- Apple
- Azam FC
- B
- BIashara United
- Burudani
- C
- CAF
- Cecafa Cup
- Entertainment
- epl
- EURO 2020
- FA Cup
- Fashion
- Featured
- Gadgets
- gazeti la championi
- Gazeti la Championi leo
- Gazeti la Mwanaspoti
- Gazeti la Mwanaspoti leo
- Gazeti la Spoti Xtra
- Geita Gold FC
- Habar za Usajili Simba
- Habari za michezo
- Habari za Simba
- Habari za Simba Leo
- Habari za Usajili
- Habari za usajili Bongo
- Habari za usajili Simba leo
- Habari za Usajili Yanga
- Habari za Yanga
- Habari za Yanga Leo
- Infinix
- Internet
- Kagame Cup
- Kaizer Chiefs
- Kikosi cha Simba
- KIkosi cha Yanga
- Kikosi cha Yanga leo
- kimataifa
- KMC FC
- Ligi Kuu
- M
- magazeti ya leo
- Magazeti ya michezo
- Magazeti ya Michezo Leo
- MAGE
- Makala
- Matokeo ya Simba
- Mechi ya Leo Ligi Kuu
- Mechi ya Yanga
- Mechi za Leo Ligi Kuu
- Mechi za Yanga
- Meridianbet
- mic
- mich
- Michezo
- Michezo Bongo
- Michezo Soka la Bongo
- MIVH
- Mwanaspoti leo
- Namungo FC
- NBC Premier League
- New Look 2015
- news
- Ratiba Ligi Kuu Bara
- Ratiba ya Mechi za Leo Bongo
- Ratiba ya Mechi za Ligi Kuu Bongo
- Ratiba ya Simba
- Ratiba ya Yanga Ligi Kuu
- Serengeti Girls
- Simba SC
- Singida Big Stars FC
- Street Fashion
- Style Hunter
- Taarifa za Simba
- Taarifa za Simba Leo
- Taarifa za Yanga
- Taarifa za Yanga leo
- Taifa Stars
- Tech
- TECNO
- Tetesi za usajili
- Tetesi za usajili Bongo
- Tetesi za usajili Simba
- Tetesi za usajili Yanga
- Travel
- Twiga Stars
- Usajili wa Simba
- Usajili wa Yanga
- video
- Vogue
- Y
- YAN
- yanga
- Yanga SC
HAYA HAPA MAAJABU YA KOCHA MPYA HUKO YANGA….MASTAA WAFICHUA WANAYOFANYIWA….
ACCESSORIES
AZAM: ‘UNBEATEN’ YA YANGA ILILINDWA SANA NA WAAMUZI…
WINDOWS PHONE
ZAWAD MAUYA AUNGANA NA MSAFARA WA STARS BENIN
LATEST ARTICLES
MERIDIANBET YAGUSA MAISHA YA WAKAZI WA MAGOMENI NA MANZESE…
Wakazi wa Magomeni na Manzese leo hii wameamka na neema kubwa sana baada ya kutembelewa na Meridianbet ambayo inafahamika kama Kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania. Wawakilishi kutoka Meridianbet walipeleka msaada wa mahitaji muhimu ya kila siku kwa wakali hao. Zoezi hili lililohusisha usambazaji wa bidhaa kama vyakula, sabuni, unga, mafuta ya kupikia, mchele na mahitaji mengine ya msingi limewalenga zaidi...
BILLION 1.5 ZIPO MEZANI KUKUPA USHINDI LEO…
Je unajua kuna mzigo mkubwa 1.5 wa mgao ambao unakusubiri wewe tuu uweke dau lako na uingie kwenye mashindano ya LUKCY RUSH. Cheza michezo inayoshiriki kwenye promosheni hii uwe kwenye washindi watakaotangzwa mwisho wa kampeni hii. Lucky Rush inawapa washiriki nafasi ya kujionyesha kwenye Leaderboard, orodha ya washiriki wanaoongoza. Walioko juu zaidi watajipatia zawadi za kipekee na nafasi ya kipekee...
HALOPESA INAVYOKUPA BONUS YA 20% UKIWA NA MERIDIANBET….
Watu makini wanaelewa thamani ya kila shilingi. Na sasa, Meridianbet inakuletea njia ya kuongeza kila unachoweka. Kwa kutumia Halopesa Push kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet, utapokea bonus ya 20% kila siku, inayoweza fika hadi TZS 50,000 kwa dau lako la kwanza. Fikiria hii kama motisha ya kila asubuhi, kuongeza nguvu kabla hujaweka dau lako la ushindi. Ni rahisi...
PAMOJA NA KUPATA UBINGWA WA FA JANA…NEEMA YAZIDI KUTUA YANGA…
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi ameizawadia Klabu ya Yanga shilingi milioni 100, kwa kutambua ushindi na mafanikio makubwa waliopata katika msimu wa mwaka 2024/2025. Rais Dk Mwinyi ameyasema hayo leo Juni 30, 2025 alipokutana na viongozi pamoja na wachezaji wa Yanga waliofika Ikulu kwa ajili ya kumkabidhi makombe matano ya michuano mbalimbali...
KIMKAKATI…..HIVI NDIVYO SIMBA ALIVYOCHANGIA KWA 100% YANGA KUTWAA UBINGWA MSIMU HUU..
KIKOSI cha Yanga usiku wa jana kilikuwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani Zanzibar kumalizana na Singida Black Stars katika mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho, ikiwa ni siku chache tu tangu itoke kubeba taji la Ligi Kuu lililochangiwa kwa kiasi kikubwa na watani wao, Simba. Ndio, Yanga ilitwaa ubingwa huo wa Ligi kwa msimu wa nne mfululizo...
HIVI NDIVYO YANGA WALIVYOFUNGA MSIMU KIBABE JANA MBELE YA SINGIDA BS….
DUKE Abuya na Clement Mzize, wamekata kiu ya mashabiki wa Yanga baada ya kufanikisha kutwaa Kombe la Shirikisho (FA) katika mchezo wa fainali uliofanyikwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Nyota hao wawili ndio waliotikisa nyavu za Singida Black Stars katika ushindi wa mabao 2-0 ilioupata Yanga. Abuya alikuwa wa kwanza kufunga bao dakika ya 39 akimalizia mpira uliookolewa na kipa...
ZA NDAAAANIII KABISA…..SIKU ZA MPANZU SIMBA ZAHESABIKA….TIMU ULAYA YAMFUNGIA KAZI…
WAKATI mashabiki na wapenzi wa Simba wakiendelea kujiuliza kilichowakuta katika pambano la Dabi ya Kariakoo kwa kulazwa mabao 2-0 na Yanga, kuna taarifa ya kushtua ambayo huenda wasingependa kuisikia kuhusu kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Ellie Mpanzu. Mpanzu ambaye ameibuka kuwa kipenzi cha mashabiki wa klabu hiyo kwa siku za hivi karibuni, inadaiwa anahesabu siku klabuni hapo kutokana na kunyemelewa...
MERIDIANBET YAKULETEA SUPER HELI NA ZAWADI YA SAMSUNG A25…
Wachezaji wa mchezo maarufu wa Super Heli sasa wana nafasi ya kipekee ya kujishindia simu mpya ya kisasa aina ya Samsung A25, ikiwa ni promosheni ya kipekee iliyoanzishwa na Meridianbet, kampuni inayoongoza kwa michezo ya kubashiri na kasino mtandaoni nchini Tanzania. Super Heli ni moja ya michezo ya kasino mtandaoni inayozidi kupata umaarufu kwa kasi kutokana na muundo wake wa...
PROMOSHENI YA ERA OF 1000S KUKUTAJIRISHA SASA ….
Mashindano ya Era of 1000s si tu mashindano ya kawaida bali ni mashindano ambayo yamekuja kwaajili ya kugeuza maisha yako wewe mteja wa Meridianbet. Utageuzaje maisha yako?. Ni kwa kucheza michezo mbalimbali ambayo inapatikana kwenye promosheni hii kwa dau lako ulipendalo pekee. Promosheni hii ya ERA OF 1000s imeanza jana na itaisha tarehe 29 mwezi Juni ambapo itakuwa ni ya...
GG&3+ KWA JUVENTUS VS MAN CITY INAKUPA MZIGO MARA 2
Michuano ya kombe la Dunia kwa vilabu inazidi kuendelea ambapo Meridianbet kila siku wao wanatafuta namna pekee ya wewe kuweza kuondoka na mpunga wa maana kabisa na mechi hizi. Bashiri kwa GG&3+ mechi ya Juventus vs Man City ushinde pesa mara 2 zaidi. Juventus ambao wana kocha mpya Igor Tudor wanahitaji kushinda taji hili lenye thamani kubwa baada za kumaliza...