LATEST ARTICLES

AHMED ALLY:- KWA SIMBA HII YA MGUNDA TUNAMFUNGA AL AHLY NNJE NDANI…

0
Habari za Simba leo

Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amesema kuwa wanatamani kurudiana na timu zote walizocheza nazo msimu huu zikawafunga. Ahmed amesema hayo mara baada ya Simba kuichapa Azam FC mabao 3-0 mchezo wao wa Ligi uliopigwa jana katika Dimba la Mkapa na kuongeza kuwa, Simba sasa imeimarika na kurejesha makali yake. “Hii ni salam kwa yeyote anayekuja, Simba...

AHMED ALLY:- KWA UBORA WA SASA TULIONAO SIMBA…UBINGWA WA LIGI NI HALALI YETU…

0
Habari za Simba leo

Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amefunguka mara baada ya kushinda bao 3-0 mchezo wao wa Ligi dhidi ya Azam FC na kusema bado wanaitafuta nafasi ya kwanza. Katika msimamo wa Ligi, Yanga wanaongoza wakiwa na alama 68 katika michezo 25, Azam nafasi ya pili alama 57 na michezo 26 huku Simba wakiwa nafasi ya tatu...

KUHUSU KUPEWA TIMU MAZIMA….MGUNDA AWATEGA MABOSI SIMBA…MSIMAMO WAKE HUU HAPA…

0
Habari za Simba

Kaimu Kocha Mkuu wa Simba SC ni kama ameutega Uongozi wa Klabu hiyo, katika kipindi hiki ambacho wanamsaka Kocha Mkuu atakayekabidhiwa kikosi kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao 2024/25. Mgunda alitangazwa kukaimu nafasi ya Kocha Mkuu klabuni hapo, kufuatia uongozi wa Klabu hiyo kuvunja mkataba na Kocha Benchikha aliyeondoka nchini kwa sababu za kifamilia. Baadhi ya Mashabiki na Wanachama wa...

CHIRWA AVUNJA UKIMYA KUHUSU MASTAA WA BONGO…”TATIZO WANADHARAULIWA SANA…”

0
Habari za Michezo leo

Nyota wa klabu ya Kagera Sugar Obrey Chirwa anaamini kuwa nyota wazawa hawapewi heshima wanayostahili kutokana na ubora walionao ambao kwa wakati mwingine wanawazidi wageni wanaoimbwa kila siku. "Nimekutana na makipa bora wengi nimekutana na Aishi Manula yule bora, nikakutana na Beno Kakolanya bora lakini Watanzania mnawadharau tatizo lenu, mnapenda vipya." "Watanzania wana uwezo mkubwa kushinda hata wageni ambao mnawaona kila...

KUHUSU AYOUBU KUBAKI AU KUSEPA SIMBA…UKWELI UNAOPASWA KUJUA HUU HAPA…

0
Habari za Simba SC

KLABU ya Simba iko mbioni kuhakikisha wanampa mkataba mpya kipa wao, Ayoub Lakred kusalia ndani ya timu hiyo kwa msimu ujao aa mashindano Imeelezwa. Kulikuwa na taarifa kuwa nyota huyo huenda akaondoka ndani ya klabu hiyo baada ya mkataba wake kufikia ukingoni mwa msimu huu baada ya kusaini mwaka mmoja. Mbali na kipa huyo lakini pia wamemueweke ofa kiungo Clatous Chama...

SIKU YA MAMA DUNIANI IMEKUA BARAKA KIGAMBONI….

0
Meridianbet

Kigamboni imepata baraka ya kutembelewa na Meridianbet siku ya kina Mama duniani kwani mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wamefika eneo hilo na kutoa msaada katika Zahanati moja inayopatikana katika eneo hilo. Mara kwa mara mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wamekua wakijitahidi kurudisha kwenye jamii yao na leo wamefanikiwa kutoa msaada wa chakula na vitu vingine, Wamefanikiwa kutoa Sukari,...

TETESI:- LYANGA ANUKIA SIMBA, YANGA….AZAM WAKIZUBAA TU KAENDA….

0
Tetesi za Usajili

KIUNGO Mshambuliaji wa Azam FC, Ayoub Lyanga  anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa klabu za Simba na Yanga, imeelezwa. Lyanga mkataba wake unafika ukingoni mwishoni mwa msimu huu huku tayari mabosi hao wa timu hizo mbili wameweka ofa zao mezani kwa ajili ya kuinasa saini ya nyota huyo. Licha ya timu hizo mbili kuonyesha nia lakini nyota huyo ameanza mazungumzo...

UNAAMBIWA MASHINE MPYA YA YANGA NI BALAA NA NUSU…

0
Habari za Yanga leo

Wakati Yanga ikibakiza hatua chache kumalizana na beki wa kushoto wa FC Lupopo, Chadrack Boka, Raul Shungu amewaambia ; “Ni bonge ya beki.” Kocha huyo ambaye amewahi kuifundisha Yanga kwa mafanikio miaka ya tisini, ameliambia Mwanaspoti kwa njia ya simu kuwa, Boka ni beki wa maana na kama Yanga itamnasa itakuwa imezipiga bao timu nyingi ikiwemo AS Vita, DC Motema...

HIZI HAPA SABABU ZA MSINGI MGUNDA KURUDISHWA SIMBA….”BAJETI YA MISHAHARA MIL 600″…

0
Habari za Simba leo

Furaha imerejea Simba. Mabadiliko yaliyofanywa kwenye benchi la ufundi na kumrejesha Juma Mgunda yameanza kulipa. Ametumia mechi nne tu kubadilisha mambo ndani ya klabu na sasa imefikia hatua wakongwe wamesema apewe timu. Si hao tu, hata mashabiki baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Azam juzi na kufufua matumaini ya kushiriki Ligi ya Mabingwa msimu ujao, walisikika Uwanja wa...

ODDS ZA USHINDI LEO ZIMELALA KWENYE KIOTA CHA TIMU HIZI NDANI YA MERIDIANBET…

0
Meridianbet

Kampuni kubwa ya ubashiri Tanzania, Meridianbet inakwmabia hivi kuelekea mwisho wa msimu una nafasi ya kutimiza ndoto zako kwa kubashiri mechi zako kwa usahihi. EPL, LALIGA, BINDESLIGA na zingine kibao kupigwa leo. SERIE A kitawaka moto leo kwa mechi mbili pekee saa 1:00 usiku SSC Napoli ambaye hana matumaini ya kucheza ligi ya mabingwa msimu ujao, atakuwa nyumbani kwake Armando...