LATEST ARTICLES

KISA SIMBA DILI LA INONGA YANGA LAINGIA ‘KIDUDU MTU’….MABOSI WAPISHANA KAULI….

0
Habari za Yanga leo

DILI la beki wa kati wa zamani wa Simba anayekipiga FAR Rabat ya Morocco, Henock Inonga kutua Yanga limeibua mvutano mkali baada ya kutokea mgawanyiko kwa mabosi wa klabu hiyo, huku baadhi wakitaka asisajiliwe. Katika hoja mbili zinazovutana juu ya dili hilo, wanaosema asisajiliwe wanasisitiza kwa sasa hawataki kuona wanamsajili mchezaji ambaye amepita Simba, huku wale waliopendekeza asajiliwe wanasimamia kwenye...

CHELSEA, NAPOLI, DORTMUND KUKUPATIA PESA LEO…..

0
Meridianbet

Ligi mbalimbali zinaendelea leo ambapo mechi hizo zina odds za kibabe. Suka jamvi lako na Meridianbet uibuke Milionea leo kwa dau lako dogo tuu. Unasubiri nini sasa leo? Tukianza na BUNDESLIGA kule Ujerumani napo patawaka haswa ambapo Bayer Leverkusen atakiwasha dhidi ya Borussia Dortmund ambapo mechi ya kwanza kukutana, mwenyeji alishinda ugenini. Je mgeni na yeye anaweza kulipa kisasi akiwa...

MERIDIANBET YAZINDUA MCHEZO MPYA WA KIPEKEE – “GATES OF OLYMPIA” KUTOKA EXPANSE STUDIOS

0
Meridianbet

Kwa mashabiki wa michezo ya kasino mtandaoni, Meridianbet ina habari njema: sasa unaweza kucheza Gates of Olympia, mchezo mpya wa slot unaoleta mchanganyiko wa historia ya Kigiriki, teknolojia ya kisasa na nafasi kubwa ya kushinda. Mchezo huu umetengenezwa na Expanse Studios, moja ya studio zinazoongoza kwa ubunifu barani Ulaya. Ukiwa na muundo wa 6x5, Gates of Olimpia hutumia mfumo wa...

MERIDIANBET YAWAPELEKA WACHEZAJI KWENYE DUNIA YA MIUNGU KUPITIA MCHEZO MPYA – GATES OF OLIMPIA

0
Meridianbet

Wapenzi wa michezo ya slot, Meridianbet inawaletea mchezo mpya wenye mandhari ya kifalsafa na kihistoria: Gates of Olimpia – kazi ya kipekee kutoka kwa wabunifu maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Katika mchezo huu, wachezaji wanaalikwa kuingia kwenye ulimwengu wa hadithi za Kigiriki, ambapo kila mzunguko wa slot unaweza kufungua milango ya zawadi kubwa zisizotarajiwa. Mchezo Unavyofanya Kazi Gates of Olimpia...

STENDI YA AFRICANA MBEZI YAFANYIWA USAFI NA MERIDIANBET…

0
Meridianbet

Anna Lukindo, ofisi yake pamoja na wananchi wa eneo hilo huku lengo likiwa ni kuhakikisha Stendi hiyo inakuwa katika mazingira safi. Meneja Mahusiano wa Meridianbet Nancy Ingram alieleza: "Hatutaki tu kuja kufanya usafi, tunataka kubadilisha fikra. Tumeamua kuanza na vijana kwa sababu wao ndiyo taifa la leo. Tukiwafikia mapema, tunalinda kesho ya miji yetu." Zoezi hili limehusisha usafishaji wa mazingira ya...

FUNGUA MILANGO YA BAHATI KWENYE GATES OF OLYMPIA – SLOTI MPYA YA KISASA KUTOKA MERIDIANBET.

0
Meridianbet

Katika safari ya kuleta michezo ya kuburudisha na yenye malipo makubwa, Meridianbet kwa mara nyingine tena imezindua sloti mpya ya kipekee – Gates of Olympia, mchezo unaokupa nafasi ya kuchuma utajiri kutoka kwa miungu ya Olympia! Sloti hii ya ajabu imebuniwa kwa mandhari ya Kigiriki ya kale ambapo miungu hutoa zawadi kwa wachezaji walio tayari kuthubutu. Ukiwa na muundo wa...

ODDS ZA USHINDI KWENYE EUROPA LEAGUE LEO HII HIZI HAPA….SANUKA WEWE…

0
Meridianbet

Ni siku nyingine kabisa ya Alhamisi ambapo leo hii tutaenda kushuhudia Nusu Fainali za pili za Europa League na Conference huku Meridianbet wakiweka odds za kibabe kwenye mechi hizo. Tukianza na Europa League ambapo Manchester United baada ya kushinda mechi yake iliyopita dhidi ya Athletic Bilbao, leo hii atakuwa na kibarua cha kulinda mtaji wake wa magoli matatu dhidi ya...

KUELEKEA MECHI YA FAINAL YA CAF….HII HAPA AHADI YA ‘KISHUA’ YA RAIS SAMIA KWA SIMBA…

0
Habari za Simba leo

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameongeza zawadi ya fedha kwa klabu ya Simba SC kupitia mpango wa "Goli la Mama", sasa wachezaji watapokea Shilingi milioni 30 kwa kila bao watakalofunga katika mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Awali, Rais Samia alikuwa ameahidi Shilingi milioni 20 kwa kila goli katika mechi za nusu fainali....

MNYAMA KUZITAKA POINT TATU…PAMBA HALITETE KUSALIA LIGI KUU…

0

Kocha mkuu wa pamba jiji asema ya kwamba hawapo nafasi nzuri, suala la kushuka daraja halipo maana bado tuna mechi nne mkononi tuta hakikisha pamba inabaki ligi kuu ya nbc.Tuna waheshimu simba na tunaamini mchezo utakuwa mzuri. Huku kocha msaidizi wa simba amesema.Wanakutana na mechi ngumu zaidi kwani pamba wanapambana wasishuke daraja. Wachezaji wa simba wapo tayari kupambana akimalizia kusema...

UNATAKA PESA YA CHAP….HII HAPA KASINO MPYA YA KIJANJA NDANI YA MERIDIANBET….

0
Meridianbet

Kupitia Meridianbet utakutana na mchezo wa kasino ya mtandaoni unaoelezea kisa cha Farao aliyelaaniwa kwa matendo yake, unachopaswa kufanya ni kuwa mkali kwa kucheza vizuri ni njia sahihi kukupa ushindi mkubwa. Jisajili Meridianbet ufurahie mchezo huu. The Cursed King ni mchezo wa kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zna mistari 19 ya malipo. Ili kupata ushindi, unahitaji kuunganisha alama tatu...