LATEST ARTICLES

‘MAPRO’ WANAOACHWA NA KUBAKI SIMBA, YANGA HAWA HAPA….CHAMA, MUKWALA MHHH…..

0
habari za SIMBA NA YANGA

KLABU kongwe nchini, Simba na Yanga, zimetembeza panga kwa upande wa wachezaji wa kimataifa kuelekea msimu mpya, huku zikilenga kuboresha vikosi vyao zaidi kwa ajili ya malengo makubwa kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, imefahamika. Simba na Yanga zipo kwenye harakati za kuviboresha vikosi vyao kwa ajili ya mashindano msimu ujao, zikilenga zaidi Ligi ya Mabingwa Afrika, ambapo inatajwa...

HUU HAPA UKWELI WOTE KUHUSU ‘MOVE’ YA MANULA KWENDA AZAM KIRAHISI RAHISI….

0
Habari za Azam fc

HUKU ikitaja sababu tatu za kumrejesha golikipa, Aishi Manula kundini baada ya kumpoteza kwa kipindi cha miaka minane, uongozi wa Azam FC, umesema ujio wa Aishi Manula katika klabu hiyo ni pendekezo la Kocha Mkuu Florent Ibenge. Klabu hiyo ilimtangaza rasmi kuwa mchezaji wao juzi, ingawaΒ  hili lilianza kufahamika kuwakipa huyo kutimkia Azam tangu Juni 11, mwaka huu. Manula alijiunga na...

KISA UKIMYA MWINGI….SIMBA WAIBUKA NA HILI JIPYA….ISHU YA FADLU KUSEPA HII HAPA…

0
Habari za Simba

KLABU ya Simba imesema kwa sasa viongozi wake wa ngazi ya juu wamekuwa na vikao kila siku kwa ajili ya usajili na kupanga mikakati kabambe kwa ajili ya msimu ujao, huku ikithibitisha rasmi kuwa imembakisha Kocha Mkuu, Fadlu Davids kwa msimu mwingine ujao na kukikiri haikuwa rahisi hata kidogo. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Meneja Habari na Mawasiliano wa...

KISA ENG HERSI…..SIMBA KULAMBA MAMILIONI KUTOKA CAF….ISHU NZIMA IKO HIVI…

0
Habari za Yanga leo

Mwaka uliopita, Chama cha Umoja wa Vilabu Afrika (ACA) chini ya uongozi wa Eng. Hersi Said, kilifanikiwa kushawishi CAF kutoa dola 50,000 kwa kila klabu iliyoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF CL) na Kombe la Shirikisho (CAF CC) katika hatua ya awali. Kwa msimu huu mpya, ACA imeendelea kupigania maslahi ya vilabu barani Afrika kwa mafanikio zaidi. Kupitia mazungumzo na...

MERIDIANBET WAJA NA SUPER HELI, USHINDE SAMSUNG A25 BILA KUTOA JASHO…

0
Meridianbet

Nyingine tena kutoka kwa wakali wa michezo ya Ubashiri nchini. Meridianbet wanaonyesha kuwa wao ni zaidi ya burudani kwa kuja na promosheni kali kupita kawaida. Kupitia mchezo maarufu wa kasino mtandaoni wa Super Heli, sasa unaweza kujishindia simu mpya ya kisasa aina ya Samsung A25, bila gharama ya ziada. Ndiyo, unasikia vizuri kabisa, ni Samsung A25 kutoka kwa wataalamu...

ONDOKA NA SAMSUNG A25 KWA KUSHIRIKI AVIATOR…

0
Meridianbet

Kama unapenda michezo ya kasino mtandaoni au unataka kuijaribu kwa mara ya kwanza, huu hapa ni mchongo wa mwezi: kuwa rubani wa maisha yako kupitia mchezo wa Aviator kutoka Meridianbet. Kuanzia Julai 1 hadi mwisho wa mwezi, Meridianbet wana promosheni kabambe kwa wachezaji wa Aviator. Wachezaji 8 wenye bahati watashinda simu kali ya Samsung A25, simu mbili kila Jumatatu. Mara...

NDANI YA DAKIKA CHACHE UNAPATA MILIONI MKONONI MWAKO…

0
Meridianbet

Meridianbet imeleta mashindano ya Playson Short Races ambayo yanakupa nafasi ya kushinda mamilioni ya pesa. Hii ni moja ya fursa kubwa sana ya kukupatia maokoto ya maana huku washindi wakifurahia promosheni hii. Playson Short Races ni mashindano ya kila siku na ya kila wiki yanayochochea ushindani mkali katika mbio za dakika chache, lakini zenye matokeo makubwa. Wachezaji wanatakiwa kucheza michezo...

MNASEMA KIBU HAJAWIKA MSIMU HUU πŸ™„πŸ™„..?HIZI HAPA TAKWIMU ZAKE ZA KUTISHA 😎😎…

0
Habari za Simba

SIMBA SC katika anga la kimataifa msimu wa 2024/25 imegotea nafasi ya pili kwa kupoteza mchezo wa fainali dhidi ya RS Berkane ya Morocco. Katika dakika 180, Simba SC ilifungwa jumla ya mabao 3-1, bao la kufutia machozi kwa Simba SC lilifungwa na Joshua Mutale mchezo uliochezwa Uwanja wa New Amaan Complex. Kibu Dennis ni miongoni mwa wachezaji ambao walikuwa katika...

ISHU YA MPANZU KUTAKIWA NA WAARABU …UKWELI WOTE HUU HAPA…

0
Habari za Simba leo

INAELEZWA kuwa winga chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Fadlu Davids ndani ya kikosi cha Simba SC, Ellie Mpanzu yupo kwenye rada za RS Berkane,Waarabu wa Morocco. Mpanzu ni miongoni mwa wachezaji waliokuwa tegemeo katika kikosi cha Simba SC msimu wa 2024/25 kwenye anga la kimataifa na kitaifa. Ndani ya ligi rekodi zinaonyesha kuwa alicheza jumla ya mechi 17 kati ya...

KUHUSU MANULA KURUDI ZAKE AZAM FC…HII HAPA STORI NYUMA YA PAZIA ISIYOSEMWA….

0
Habari za Michezo leo

AIR Manula amerejea ndani ya kikosi cha Azam FC akitokea kwa waajiri wake Simba SC akiwa mchezaji huru. Mkataba wa Air Manula na Simba SC ilikuwa mpaka 2025 tayari umegota mwisho. Kwa msimu wa 2025/26 atakuwa ndani ya Azam FC, matajiri wa Dar mpaka 2028 akitimiza majukumu yake kwenye eneo la mlinda mlango. Msimu wa 2024/25 akiwa ndani ya Simba SC...