COASTAL CHAWAKUTA WALICHOKIMBIA SIMBA KWENYE DABI…..
YANGA imefuzu hatua ya 16 Bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa mabao 3-1 huku Maxi Nzengeli akitupia mabao mawili katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Mabingwa hao watetezi wa michuano hiyo, walitumia dakika 21 tu za kipindi cha kwanza kujihakikishia ushindi huo kwa mabao ya Maxi aliyefunga katika dakika ya 1...
KISA NDOA NA MOBETTO…? HIZI HAPA SABABU ZA AZIZ KI KUPIGWA CHINI TIMU YAKE YA TAIFA…
KIUNGO mshambuliaji nyota wa Yanga, Stephane Aziz KI na beki wa kushoto wa Simba, Valentin Nouma, wametemwa katika kikosi cha timu ya taifa ya Burkina Faso kinachojiandaa kwa mechi mbili za kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026 na kocha wa timu hiyo ameeleza sababu. Burkina Faso ipo katika Kundi A pamoja na Misri, Guinea Bissau, Sierra Leone, Ethiopia...
Kubashiri Mechi za Simba na Yanga: Mwongozo wa Kisheria Tanzania
Mechi za Simba na Yanga huwa ni tukio kubwa katika kalenda ya soka Tanzania. Mashabiki wengi hufurahia kutazama michuano ya timu hizi zinaongoza ligi ya soka. Wengi hupendelea kufuatilia na kushiriki katika legal betting in Tanzania wakati wa mechi hizi muhimu. Hata hivyo, ni muhimu kuelewa taratibu za kisheria na namna bora ya kufanya hivyo. Mwongozo huu utakusaidia kufurahia michezo ya timu...
KUWA MJANJA, CHEZA SLOTI YA LUCKY BETTING SHOP MAMILIONI YANAKUSUBIRI!…
Kucheza kasino sio lazima ufike kwenye maduka la kasino yaliyopo mtaani, Meridianbet imerahisisha kazi yako, kupitia kasino ya mtandaoni utapata wasaa wa kucheza michezo ya sloti na kasino kirahisi kabisa. Mchezo wa kasino ya mtandaoni. Lucky Betting Shop ni mashine ya sloti inayofurahisha na kukupa zawadi kedekede kwenye michezo. Kumbuka, sio ubashiri wa kasino ya mtandaoni ila ni ubashiri madukani. Inaonesha uhalisia...
CHEZA KASINO YA LUCKY DOLPHIN|USHINDI NI MKUBWA….
Unambiwa bahari imebeba viumbe vingi vya ajabu, samaki, majini na madini, lakini pia rasilimali zenye utajiri mkubwa kama mafuta na gesi kwa kiasi kikubwa vinapatikana baharini waulize wavuvi watakwambia juu ya maajabu ya baharini. Meridianbet kasino mtandaoni inakurudisha baharini kuusaka utajiri kupitia mchezo wa kasino unaitwa Lucky Dolphin. Lucky Dolphin ni sloti ya kasino mtandaoni kutoka kwa mtayarishaji mahiri wa...
BASHIRI NA MERIDIANBET MECHI ZA UEFA LEO…ODDS ZA USHINDI HIZI HAPA….
Hatimaye leo ndio leo asemaye kesho muongo kwani, leo ndio itajulikana nani anaaga mashindano ya ligi ya mabingwa kwa mechi za leo. Benfica. PSG na wengine wapo dimbani kukupatia pesa. Mechi kali kabisa itakuwa pale Anfield ambapo Liverpool watawaalika kwao PSG, huku ikumbukwe kuwa Jogoo ana faida ya goli moja. Vijana wa Luis wanahitaji ushindi ugenini leo kuvuka hatua nyingine...
KARIAKOO DABI YALIZA WENGI….MAWAKALA FIFA WALIA HASARA YA MIL 20…MZIZE ATAJWA…
KUSHINDWA kupigwa kwa pambano la Dabi ya Kariakoo Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam bado ni gumzo, huku wadau mbalimbali wakilia hasara walizopata kutokana na kuahirishwa kwa pambano hilo kulikofanywa na Bodi ya Ligi. Bodi ya Ligi iliahirisha mchezo huo saa chache kabla ya kupigwa saa 1:15 usiku baada ya awali Simba kutoa taarifa ya kugomea...
ZA NDAAANI KABISAAA….MASTAA YANGA WALIA SIMBA KUWAKOSESHA PESA…😂😂😂….
KAMA kuna kitu kinachowauma mastaa wa Yanga ni kitendo cha watani wao, Simba kuamua kuikacha mechi ya Ligi Kuu ya Dabi ya Kariakoo iliyokuwa ipigwe juzi kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Pambano hilo la Ligi Kuu Bara, lilipangwa kupigwa juzi Jumamosi ikiwa ni mechi ya marudio kwa msimu huu, baada ya awali Simba kupoteza kwa bao 1-0...
TAREHE MPYA DABI YA SIMBA, YANGA SHAKANI….RAGE AIBUKA NA HILI JIPYA…
WAKATI Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), ikiwataka wadau wa soka kuwa watulivu kipindi hiki wakiendelea kusubiri taarifa itakayotolewa kueleza kwa nini mchezo wa Simba na Yanga uliokuwa uchezwe Machi 8, mwaka huu haukuchezwa na hatima yake, mechi hiyo kwa sasa inaonekana kuwa 'njiapanda' kufanyika. Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Steven Mguto, alisema kwa sasa hawezi kuzungumza chochote mpaka hapo kikao...
KISA SAFARI YA MO DEWJI ULAYA ….AHMED ALLY AWATUPIA DONGO LA GIZANI YANGA….
MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally, ameonekana kuwatupia kijembe watani wao wa jadi, Yanga, kufuatia ziara ya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi na Rais wa Heshima wa Simba, Mohammed Dewji (Mo Dewji), nchini Ujerumani. Katika ziara hiyo, Mo Dewji alikutana na viongozi wa klabu ya VfB Stuttgart, inayoshiriki Ligi Kuu ya Ujerumani, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano...