STARS KUKIPIGA NA BAFANA BAFANA MCHEZO WA KIRAFIKI LEO….
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, inatarajiwa kushuka dimbani usiku wa leo kuikabili timu ya taifa ya Afrika Kusini, Bafana Bafana, katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaofanyika kwenye Uwanja wa Peter Mokaba, mjini Polokwane, kuanzia saa 2:30 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Mechi hii ni ya kutengeneza pesa na Meridianbet kwa wabashiri wote. Ni mchezo wa kirafiki,...
MAFIA CLASH KASINO MTANDANI NDANI YA MERIDIANBET…..
Hatimaye wale wapenzi wa kucheza magemu huu utawafaa, ni mchezo mzuri sana wa kasino ya mtandaoni una mandahari mazuri na wakati unaucheza unapata bonasi kubwa ya kasino ya mtandaoni. Mafia Clash ni mchezo wa kasino ya mtandaoni inaotoa bonasi kibao kwa wachezaji, sloti hii imetengenezwa Hacksaw Gaming. Mchezo huu kutoka Meridianbet kasino ya mtandaoni una thamani inayoweza kufikia 100. Kuna...
YAJUE MAAJABU YA LUCKY SEVENS KASINO KILA UNAPOCHEZA….
Neno Kasino unapolisikia kwa mara ya kwanza unapata picha gani? Iko hivi Kasino ni sehemu nzuri yenye kila kitu cha kufurahi, ikiwemo michezo mingi na rahisi kushinda, Makamaria wengi hupenda kucheza na dau kubwa ili upate ushindi mkubwa ndiyo maana Merdianbet imeamua kuusogeza mchezo huu mpaka kiganjani mwako na unaweza kucheza kasino mtandaoni popote ulipo. Moja kati ya michezo bomba...
BAADA YA KUONA FEI TOTO ANAWEZA KUSEPA…AZAM WAHAMISHA NGUVU KWA STAA WA SIMBA..
HAWAJAWEKA wazi lakini tafsiri ya kiufundi ni kwamba Azam FC wako kwenye harakati za kujiandaa na lolote kwenye nafasi ya Feisal Salum ‘Fei Toto’ Staa huyo ambaye bado ana mkataba wa mwaka mmoja na Azam amekuwa akihusishwa na kujiunga na Simba, Yanga na Kaizer Chiefs msimu ujao ambapo kila mmoja kwa wakati wake anapambana kupata ahueni ya dau. Azam wamekuwa...
SHILINGI 5000 KUKUPATIA SAMSUNG A25 NA MERIDIANBET….
Meridianbet wamekuja na fursa ya kipekee kwa wateja wake ambapo kwa shilingi 5000 pekee inampa nafasi ya kuondoka na simu janja aina ya Samsung A25, hivyo shiriki sasa uwe moja ya washindi watakaotangazwa siku maalumu. Kushiriki promosheni hii lazima ubashiri kwa kutumia USSD yaani kwa kubonyeza *149*10# na uingie kwenye tovuti uanze kubashiri mechi zako ambapo kwenye promosheni hii dau...
MERIDIANBET WAZINDUA OFA MAALUM KUPITIA ZOMBIE APOCALYPSE…
Meridianbet kwa kushirikiana na Expanse Studio wamezindua ofa maalum kwa wachezaji wa kasino mtandaoni kupitia mchezo wa kasino mtandaoni wa Zombie Apocalypse. Kupitia ofa hii, wateja wanaopenda michezo ya kasino wanapata nafasi ya kipekee ambapo wakicheza mizunguko 100 leo, wanapata mizunguko 50 ya bure kesho. Hii ni fursa ya kuongeza muda wa kucheza na nafasi za ushindi bila gharama ya...
DUH 🥺🥺…WAARABU TENA…..WAITIBULIA YANGA DILI LA MASHINE HII YA ‘KUMWAGA MAJI’….
WAKATI Yanga ikijiandaa kumleta nchini beki wa kulia wa TP Mazembe na timu ya taifa ya Mauritanian, Ibrahima Keita, dili hilo limeanza kuingia gundu baada ya matajiri wa Tunisia kuingilia kati. Nyota huyo anayemaliza mkataba na TP Mazembe Juni 30, 2025, inaelezwa hivi karibuni atatua hapa nchini kwa ajili ya mazungumzo na Yanga kuhusu maslahi binafsi, japo kitendo cha Esperance...
PAMOJA NA KUFIKA FAINAL CAF…..’PANGA KUPITA NA VICHWA’ VYA MASTAA HAWA SIMBA…ATEBA MHH…
VIKAO vizito vinaendelea ndani ya Simba kupitia tathimini za mchezaji mmoja mmoja kuona mchango wake kama utaisaidia timu hiyo msimu ujao 2025/26. Kuna kila mabadiliko makubwa yananukia kikosini Msimbazi huku majina kadhaa yakitajwa mpaka sasa. Tayari yapo majina ya mastaa wa kigeni waliokaliwa kooni kuhakikisha wanakatwa. Kati ya mastaa ambao ni 50 kwa 50 kusalia ama kuondoka ni mshambuliaji raia wa Cameroon,...
MINI POWER ROULETTE INAKULIPA USHINDI MKUBWA….MZIGO UKO MERIDIANBET…
Unafikiria ni sloti gani au mchezo gani ulipa pesa nyingi kwa mara moja? Usihangaike cheza kasino ya mtandaoni kutimiza matakwa yako. Kuna huu mchezo unaitwa Mini Power Roulette ni tofauti na Roulette nyingine huu una namba 13 zinazotoa ushindi. Ukiachilia mbali bonasi, ofa, odds kubwa na promosheni kedekede, kasino ya mtandaoni inakuletea mchezo wa Mini Power Roulette uliotengenezwa na Expanse...
SHINDA SAMSUNG A25 UKICHEZA KASINO NA KUBASHIRI MECHI MBALIMBALI…
Meridianbet wamekuja na fursa ya kipekee kwa wapenzi wa michezo ya mtandaoni ambayo ni promosheni ya Jisajili, Weka Pesa, Cheza na Ushinde" ambapo hapa mchezaji anatakiwa abashiri mechi zozote na michezo ya Kasino. Promosheni hii imeanza Juni 01 na kikomo chake itakuwa ni tarehe 30 Juni ambapo mchezaji anatakiwa awe amejisajili, aweke pesa na abashiri sport pamoja na michezo yoyote...