JIPATIE SPIN ZA BURE KILA SIKU KWENYE WILD WHITE WHALE NA MERIDIANBET…
Meridianbet inakukaribisha kwenye promosheni ya kipekee ya Wild White Whale kwa mwezi wa Julai 2025. Kuanzia tarehe 1 hadi 31 Julai, wachezaji wana fursa ya kupata spin 50 za bure kila siku kwa kukamilisha spin 100 kwenye mchezo huu wa kasino. Ili kushiriki, unahitaji tu kuwa na akaunti halali ya Meridianbet na kufanya deposit kwenye akaunti yako. Mara tu unapofanikiwa...
PAKUONGEWA NGUVU SIMBA NI HAPA….WACHEZAJI WAKUONGEZWA WATAJWA…
SIMBA imemaliza msimu wa nne mfululizo bila ubingwa wa Ligi Kuu Bara wala Kombe la Shirikisho (FA), jambo lililowakata stimu kuanzia viongozi, wachezaji, mashabiki, wapenzi na wanachama wa klabu hiyo, lakini kuna akili moja ameitoa kocha wa zamani wa klabu hiyo inayoweza kuwabeba. Simba ilimaliza katika nafasi ya pili katika Ligi Kuu Bara nyuma ya Yanga iliyotetea taji kama ilivyofanya...
WANAOPIGWA PANGA YANGA HAWA HAPA….JINA LA CHAMA LAWEKEWA ‘FAILI’ MAALUMU….
MABOSI wa Yanga wakishirikiana na benchi la ufundi la klabu hiyo, wameanza kupiga hesabu la kufyeka mastaa sita wa timu hiyo, wakiwamo wazawa watano na mmoja wa kigeni, huku kiungo mshambuliaji, Clatous Chama ikielezwa amewagawa mabosi hao juu ya uamuzi wa kumtema au kumbakisha kikosini. Yanga iliyoweka rekodi ya aina yake msimu wa 2024-2025 kwa kubeba jumla ya mataji matano,...
JIPATIE SAMSUNG A25 MPYA KWA KUCHEZA AVIATOR…
Kampuni inayoongoza kwa michezo ya ubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, imezindua promosheni kabambe kwa wateja wake wote. Kupitia mchezo unaopendwa sana wa Aviator, sasa wachezaji wote wana nafasi ya kipekee kujishindia simu mpya kabisa aina ya Samsung A25, kwa kushiriki tu katika mchezo huo maarufu wa kasino mtandaoni. Katika promosheni hii, unacheza Aviator kama kawaida na unapata nafasi ya kujishindia simu...
REAL MADRID VS B. DORTMUND KUJAZA KIBUBU CHAKO LEO NA GG&3+ ..
Nusu Fainali kali nyingine kupigwa leo majira ya saa 5:00 usiku ambapo Real Madrid chini ya Alonso atakiwasha dhidi ya Borussia Dortmund ambaye yupo chini ya kocha mkuu Kovac. Bashiri mechi hii na GG&3+ ushinde mkwanja mara mbili zaidi. Promosheni hii imekuja maalumu kabisa kwa wateja wake wa Meridianbet ambao wanatumia Kampuni hiyo kufanya ubashiri, lakini safari hii wamepewa ruksa...
MERIDIANBET YAJA NA LOOT LEGENDS, SAFARI YA WIKI 10 YA USHINDI MKUBWA….
Meridianbet inakuletea ofa ya kipekee ya LOOT Legends, promosheni ya wiki 10 ya mashindano ya leaderboard yenye zawadi ya jumla ya hadi TZS 1.5 bilioni. Kuanzia tarehe 30 Juni hadi 7 Septemba 2025, wachezaji wataweza kucheza sloti pendwa na kupanda juu kwenye leaderboard kwa nafasi ya kushinda hadi TZS 30 milioni pesa taslimu bila masharti ya kubetia tena (wager-free). Kila...
TIKETI YAKO, USHINDI WAKO, BASHIRI NA GG&3+ LEO…
Fluminense vs Al Hilal ni mechi kali leo hii ya kutazama lakini huku ukiwa unaitazama inakupa pesa. na GG&3+ mtanange huu ujiweke kwenye nafasi ya kupata bonasi hadi shilingi 60000 leo. Jinyakulia bonasi ya kibabe ya elfu 60000 endapo utasuka jamvi lako hapa na kubashiri mechi ya Fluminense vs Al Hilal ya kule Saudia . Meridianbet wameipa mechi hii Odds...
PACOME KUSALIA YANGA…? HII HAPA TAARIFA ZA NDAAANI KABISA KUHUSU HATMA YAKE…
OFISA Habari wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe, amethibitisha kuwa uongozi wa klabu hiyo uko katika hatua za kuhakikisha wachezaji muhimu waliomaliza mikataba yao wanasalia ndani ya kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano mbalimbali, yakiwemo ya ndani na ya kimataifa. Kamwe ametaja baadhi ya nyota ambao wanafanyiwa kazi ili wabakie kuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kuwa...
SAA CHACHE BAADA YA MILOUD KUSEPA YANGA….MABOSI WAIBUKA NA TAMKO HILI….
BAADA ya kuipa Yanga mataji matatu aliyekuwa kocha wa Yanga, Miloud Hamdi atambulishwa katika klabu ya Ismaily ya Misri kwa mkataba wa mwaka mmoja. Hamdi alijiunga na Yanga katikati ya msimu ulippita akitokea Singida Black Stars akichukua mikoba ya Sead Ramovic na kuiongoza timu hiyo kwenye mechi 12 za ligi. Kocha huyo anajiunga na Ismaily na makocha wawili wasaidizi Hammadi Saghier...
BAADA YA KIKAO CHA MABOSI SIMBA JUZI….HAYA HAPA MAAMUZI YAO MAGUMU…
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amesema kikao kilichofanyika hivi karibuni kati ya Bodi ya Wakurugenzi na Baraza la Washauri wa klabu hiyo, ni sehemu ya mikakati kabambe ya kuiongezea nguvu klabu hiyo kuelekea msimu mpya wa 2025/26. Ahmed amesema kikao hicho kilikuwa na agenda mahususi ya kufanya tathmini ya msimu uliopita sambamba na kuweka...