MERIDIANBET KUKUTAJIRISHA LEO NDANI YA USIKU WA ULAYA WENYE ODDS ZA UHAKIKA…

0
Meridianbet

Kama kawaida mabingwa wa Ulaya wapo dimbani leo kusaka ushindi mnono, huku wewe ukisaka mepene na Meridianbet. Tengeneza mkeka wako wa ushindi na Meridianbet sasa uibuke bingwa. Vijana wa Pep Guardiola, Manchester City watakuwa Etihad kusaka ushindi dhidi ya Borussia Dortmund ambapo mara ya mwisho kukutana ilikuwa 2022 na hakuna ambaye alikuwa mbabe kati yao. Machaguo zaidi ya 1000 yapo...

MERIDIANBET YAENDELEA KUENEZA MATUMAINI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA SARATANI YA MATITI..

0
Meridianbet

Kila Oktoba, dunia huvaa rangi ya waridi, rangi ya matumaini, mapambano, na mshikamano dhidi ya saratani ya matiti. Kwa Meridianbet, huu si mwezi wa kauli mbiu tu, bali ni kipindi cha kuthibitisha dhamira ya kweli ya kusaidia jamii na kuleta mabadiliko ya kudumu. Kupitia mpango wake wa kijamii “Tuko Pamoja Nanyi”, Meridianbet imeendelea kutoa huduma za bure za uchunguzi wa...

Games za Spinners (Dubwi) Sasa Kuchezwa Mtandaoni Kupitia BetPawa Pekee…

0
Betpawa

Kwa miaka mingi, ile ladha ya Spinners imekuwa ikiwavuta watu kwenye kasino za mtaani. Yale makelele ya furaha, ule msisimko wa gurudumu likizunguka, na ule mchecheto wa kusubiri kuona kama ishara yako itatua mahali sahihi — hayo ndiyo maisha halisi ya kasino. Hata hivyo, foleni, safari, na kusubiri kiti kunaweza kukatisha raha. Kutokana na hali hiyo, chapa ya betPawa, kwa...

LUCKY FRIDAY YA MERIDIANBET KUKUPA NGUVU YA WIKENDI…

0
Meridianbet

Meridianbet wamekuja kivingine kwa kuleta Lucky Friday, kitu kipya chenye msisimko, furaha, na faida halisi. Kama jina linavyosema, hii ni Ijumaa ya bahati, siku ya kugeuza michezo yako ya kawaida kuwa fursa ya kupata ushindi wa kipekee. Lucky Friday ni promosheni maalum ya kila Ijumaa inayowapa wachezaji wa Lucky 6 na Keno nafasi ya kurudishiwa 10% ya hasara zote wanazopata...

ONGEZA THAMANI YA USHINDI WAKO NA MERIDIANBET….

0
Meridianbet

Je unajua kuwa ni rahisi sana kutengeneza jmvi lako la ushindi ukiwa na Meridianbet?. Ushindi wako utanoga zaidi ukiwa na wakali hawa wa ubashiri leo. Usingoje kupitwa na hili. Ujerumani  DFB POKAL kutakuwa na mechi za kukata na shoka, Eintracht Frankfurt atakiwasha dhidi ya Borussia Dortmund ambapo hawa wote wanakipiga kule Ligi kuu ya Ujerumani. Kila timu inahitaji ushindi kusonga...

CHAMA LA SAMATTA HUKO UFARANSA …MAMBO BADO AISEE….

0
Habari za Michezo leo

NYOTA wa kimataifa na nahodha wa timu ya taifa, Mbwana Samatta juzi Jumapili alitimiza jumla ya dakika 519 kupitia mechi nane za Ligi Kuu ya Ufaransa bila ya kufunga bao. Samatta aliyetua katika Ligue 1 msimu huu, akijiunga na Le Harve akitokea PAOK ya Ugiriki aliyokuwa amemaliza nao mkataba, amekosa mechi moja ya ligi hiyo dhidi ya Rennes iliyoisha kwa...

PAMOJA NA KUTINGA MAKUNDI CAF…..PANTEV AZUA JIPYA SIMBA….”TIMU HAINA UBUNIFU”….

0
Habari za Simba leo

MENEJA wa Simba, Dimitar Pantev, amechekelea timu hiyo kutinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini akawageukia mastaa wa kikosi hicho kuhusu mpango wa kutengeneza mabao mengi. Pantev hafurahishwi na namna kikosi hicho kinavyotengeneza nafasi na hata kuzitumia kwenye mechi zao na sasa ameanza kupiga hesabu upya. Akizungumza baada ya mchezo huo, Pantev amesema eneo la kwanza ambalo linakwenda...

WAKATI TIMU 4 ZA TZ ZIKINGIA MAKUNDI …HIZI HAPA REKODI ZAO ZA KIBABE NDANI YA CAF….

0
Tanzania timu nne CAF

HII ni rekodi mpya kwani tangu Tanzania ianze kuingiza timu nne katika michuano ya CAF ngazi ya klabu msimu wa 2019–20, haijawahi kutokea timu zote za Bara zikafuzu hatua ya makundi, safari hii rekodi mpya imewekwa. Tayari tumeshuhudia mara tatu mfululizo wawakilishi wetu wakicheza makundi ndani ya msimu mmoja, Simba na Yanga, lakini hakuna zaidi ya hapo. Ilikuwa 2022-2023, Simba ikicheza...

KWA MIFUMO HII 3 YA KIMAFIA YA KOCHA MPYA YANGA….KUNA TIMU ITAKULA TENA 5😁😁…

0
Kocha Mpya Yanga Pedro

Yanga chini ya Kocha wao Mpya Pedro inaweza kuja kutumia mifumo mitatu tofauti ambayo kocha huyo alikuwa akiitumia akiwa na Angola 4-4-2, 3-5-2 na pia 4-2-3-1. Falsafa ya kocha huyo ni kuona timu yake inacheza soka la nidhamu la kuvutia, ikiwa na mipango sahihi ya kuzuia na kushambulia. Kwenye mifumo hiyo, mfumo wa 4-2-3-1 ndio umekuwa maarufu ndani ya Yanga ukianza...

PAMOJA NA KUFUZU..HUKO KIMATAIFA YANGA HAIKUWA KAZI RAHISI AISEE….UKWELI HUU HAPA…

0
Habari za Yanga leo

HAIKUWA rahisi. Ndiyo, lakini mambo ndo kama mlivyosikia. Yanga imetinga hatua ya makundi kwa mara ya tatu mfululizo Ligi ya Mabingwa Afrika na ya nne mfululizo kwa michuano yote ya CAF ikiwa ni rekodi binafsi. Yanga ilikuwa na kibarua kigumu baada ya kukubali kichapo cha bao 1-0 ugenini dhidi ya Silver Strikers juzi ikipindua meza kibabe kwa ushindi wa mabao...