SIO KUBET TU…MERIDIANBET MPAKA HUKU NAKO WAPO…MAAFANDE WAPAMBWA NA REFLECTOR…

0
Meridianbet

Kampuni ya Meridianbet kila iitwayo siku hufikiria watafanya nini kwaajili ya kuwaunga mkono wanaanchi ambapo hii leo wamefika eneo la kawe ambapo linapatikana jeshi la polisi na kuweza kutoa Reflector kwa polisi wa usalama barabarani, huku Refletor hizo zikipokelewa na mkuu wa kitengo hicho SP-Shatta OCD ndiye aliyepokea vifaa hivyo. Meridianbet hurudisha kile kidogo wakipatacho kwenye jamii huku wakielewa umuhimu...

MDOGO MDOGO TU…TAIFA STARS WAIFUMUA UGANDA….MSUVA KAMA KAWAIDA…FEI TOTO MHHH…

0
Taifa Stars

Timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeibuka na ushindi wa bao 1-0, ugenini mbele ya Uganda katika mechi ya kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika (Afcon 2023), zitakazofanyika nchini Ivory Coast mwaka huu. Katika mechi hiyo ya kwanza kwa kocha mpya wa Stars, Adel Amrouche bao pekee na la ushindi kwa Stars lilifungwa na Simon Msuva dakika ya...

KUWAONA MAZEMBE vs YANGA ANDAA LAKI 7….NABI AIBUKA NA DENI JIPYA JANGWANI…

0
Habari za Yanga

Kocha wa Yanga, Nasreddine Nabi ametimka nchini kwenda Ulaya, huku akitoa salamu ambazo hazitakuwa njema jijini Lubumbashi, DR Congo, akisema hesabu zake sasa ni kumaliza na ushindi katika mechi ya mwisho ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Kocha huyo aliyeivusha Yanga hadi robo fainali ya michuano hiyo ikiwa ni mara ya kwanza katika ushiriki wa timu hiyo hatua ya...

PAMOJA NA JITIHADA ZA SIMBA…HUYU HAPA STAA WA AL AHLY ALIYEMTIBULIA CHAMA DILI LA CAF…

0
Habari za Simba

Nyota wa Al Ahly, Mahmoud Kahraba ameshinda mchezaji bora wa wiki mzunguko wa tano Ligi ya Mabingwa Afrika akimzidi Clatous Chama wa Simba ambaye walikuwa wakichuana kwa ukaribu katika saa 24 za kupiga kura kwenye ukurasa wa Twitter wa CAF rasmi unaohusika na mashindano ya ngazi ya klabu. Kahraba amepata asilimia 49.3 na Chama asilimia 43.5 katika kura zote zilizopigwa...

RASMI….SIMBA KUKUTANA NA HAWA ROBO FAINAL CAF…SHUGHULI KUANZA UPYAA…

0
Habari za Simba

Simba kwa sasa wanakula kuku kwa mrija ikiwa ni baada ya timu hiyo kutinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika lakini kama unadhani kazi imekwisha basi fahamu bado kabisa. Kazi ambayo Simba wanayo kwa sasa ni kumfahamu mpinzani gani ambaye watapangiwa kwenye hatua ijayo ya michuano hiyo ambayo inasimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) ambapo kwa...

WAKATI SIMBA WAKITINGA ROBO FAINAL…MANULA NAYE AZIDI KUKIMBIZA KIBABE CAF…REKODI YAKE HII HAPA…

0
Golikipa wa Simba, Aishi Manula

Kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula pamoja na safu yake ya ulinzi wameweka rekodi yao ndani ya mashindano ya kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kucheza mechi tatu mfululizo bila kutunguliwa. Mchezo wa kwanza Februari 11, ugenini ubao uliposoma Horoya 1-0 Simba, Manula alifanya kazi kubwa ya kuokoa penalti kwenye mchezo huo licha ya timu hiyo kuyeyusha pointi...

MAYELE NA INONGA WAPIGWA BENCHI…TIMU YA TAIFA YA CONGO

0
INONGA NA MAYELE NDANI YA KIKOSI KIMOJA...WAONDOKA DAR ES SALAAM

Timu ya Taifa ya Congo inashuka Dimbani kujaribu kuibua matumaini ya kufuzu kwa Michuano ya AFCON2023. Congo ambao tayari wamecheza michezo miwili katika Kundi I, wanaburuza mkiwa wakiwa wamepoteza michezo yote miwili. Congo jioni ya leo wana kibarua mbele ya Mauritania na wakati kikosi cha wanaoanza katika mchezo huo kikiwekwa hadharani, hakuna jina la Mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele, wala Beki...

HIKI HAPA KIKOSI CHA TAIFA STARS MECHI DHIDI YA UGANDA

0
HIKI HAPA KIKOSI CHA TAIFA STARS MECHI DHIDI YA UGANDA

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars" kinashuka dimbani katika Uwanja wa Suez Canal katika mji wa Ismailia kuwakabili Timu ya Taifa ya Uganda mchezo wa kuwania kufuzu AFCON2023. Taifa Stars inahitaji alama tatu kwa udi na uvumba katika mchezo huo ili kufufua matumaini ya kusonga mbele Hiki hapa Kikosi cha Stars kinachoanza mchezo wa leo;

WACHEZAJI TAIFA STARS WATOA TAMKO HILI

0
WACHEZAJI TAIFA STARS WATOA TAMKO HILI

Wakati Taifa Stars ikiwa kwenye maandalizi ya mwisho huko Misri kwa ajili ya mchezo wa leo, Ijumaa wa kuwania nafasi ya kufuzu kwa fainali za mataifa ya Afrika dhidi ya Uganda, nyota wa kikosi hicho wameapa kufanya kweli kwenye mchezo huo. Taifa Stars ipo nafasi ya tatu kwenye msimamo wa kundi F ikiwa na pointi moja nyuma ya Niger yenye...

KOCHA TAIFA STARS:- HAKUNA SABABU YA KUSINGIZIA…TUTAWAPA FURAHA WATANZANIA

0
KOCHA TAIFA STARS:- HAKUNA SABABU YA KUSINGIZIA...TUTAWAPA FURAHA WATANZANIA

Kocha wa Taifa Stars, Adel Amrouche ameeleza namna ambavyo kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa kuwania nafasi ya kufuzu kwa ajili ya fainali za mataifa ya Afrika dhidi ya Uganda huku akiamini nyota wake wanaweza kuwapa raha Watanzania. Amrouche alisema licha ya kuwa na muda mchache wa maandalizi amefurahia uwajibikaji wa mchezaji mmoja mmoja na morali ya timu kwa...