BADO TANO, VITA YA KUSHUKA EPL ILIVYOANZA KUKOLEA

0

LONDON, ENGLAND: KUANZIA maumivu ya Jumamosi iliyopita hadi ahueni fulani wiki hii! Huu umekuwa ni msimu mgumu kwa mashabiki wa Tottenham Hotspur, lakini baada...

MFUPA ULIOMSHINDA MACKY APEWA MAYANGA

0

UONGOZI wa Mbeya City umekata mzizi wa fitina kwa kumtangaza rasmi aliyekuwa kocha wa Mashujaa FC, Salum Mayanga, kuchukua nafasi ya Mecky Maxime, huku...

MPANGO MKUBWA YANGA WAANZA KUFICHUKA, USAJILI WENYE KISHINDO WAPANGWA MAPEMA

0

UONGOZI wa klabu ya Yanga inayosimamiwa na Rais Hersi Said wameingia  sokoni mapema kuelekea msimu wa 2026/27, ikiwa na lengo la kuimarisha kikosi chake...

SIMBA WAITAKA YANGA ZANZIBAR NA BARA

0

UONGOZI a klabu ya Simba umeweka wazi dhamira yao kubwa kuelekea michuano ya Kombe la Muungano,  Visiwani Zanzibar, wakisisitiza lengo lao si kutwaa ubingwa...

HATARI KUBWA YANGA, UTI WA MGONGO WATIKISWA

0

UONGOZI wa klabu ya Yanga unakabiliwa na wakati mgumu katika juhudi za kuwashawishi baadhi ya nyota wake kusalia ndani ya kikosi hicho kuelekea msimu...

DUBE AONYESHA NJAA MABAO, YANGA YAITANDIKA MUEMBE MAKUMBI 4-0

0

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Prince Dube, amerejea kwa kishindo uwanjani baada ya kupona majeraha, akionesha makali yake kwa kuiongoza timu hiyo kupata ushindi mnono wa...

DEPU AREJEA, YANGA YAMPA MPANGO MAALUM KABLA YA KARIAKOO DERBY

0

MSHAMBULIAJI wa Yanga SC, Laurindo Dilson Maria Aurélio ‘Depu’, amerejea tena kwenye mazoezi ya timu baada ya kupona majeraha yaliyokuwa yamekuwa yakimuweka nje ya...

MTANZANIA ATIKISA DUNIA KWA REKODI MPYA BOSTON

0

MWANARIADHA nyota wa Tanzania, Alphonce Simbu, amewashukuru Watanzania kwa sapoti kubwa waliompa iliyomuwezesha kufanya vizuri katika mbio za Boston Marathon 2026, ambako alimaliza katika...

BARKER ATOA MSIMAMO MKALI SIMBA, KILA MCHEZAJI KUPAMBANIA NEMBO

0

KOCHA wa Simba, Steve Barker, amesisitiza umuhimu wa wachezaji wake kuwa tayari muda wote wanapoitumikia timu hiyo, akieleza kuwa kila mmoja anapaswa kupambania nembo...

SIMU HAZITAITA KWA MUDATHIR KARIAKOO DERBY

0

KIUNGO wa Yanga, Mudathir Yahya, atakosa mchezo muhimu wa Kariakoo Derby dhidi ya Simba utakaopigwa Mei 3, 2026, kufuatia adhabu iliyotolewa na Kamati ya...