SIMBA YASUBIRI RATIBA KWA JEURI, YAAPA KUVUNJA REKODI ROBO FAINALI
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba SC, Ahmed Ally, amesema kuwa kwa sasa kikosi hicho kinasubiri kwa hamu ratiba...
SIMBA WATINGA SOKONI, WAMLENGA NYOTA WA MADEAMA
UONGOZI wa klabu ya Simba unaendelea kujiimarisha kuelekea msimamo ujao kwa kuanza kuweka rada zake kwa wachezaji wenye uwezo mkubwa barani Afrika. Imeelezwa kywa kuwa...
CHEZA LEO, SHINDA NA USAFIRI HADI IRELAND BILA PASSPORT
Ukiwa na Meridianbet, sasa unaweza kuizunguka Ireland bila kupanda ndege. Leprechaun Wish ni mchezo mpya unaokupeleka moja kwa moja kwenye dunia ya bahati na pesa....
NYOTA WA MAN UNITED ATIA MKONO DODOMA JIJI
TANZANIA inatarajiwa kupokea ugeni mzito siku chache zijazo baada ya kuthibitishwa ujio wa zaidi ya maskauti 10 kutoka Ulaya wakiwemo wawili kutoka Sweden huku...
SAMATA AANDIKA HISTORIA, AKIFUNGA BAO LA KWANZA UFARANSA
Mbwana Samatta jana Jumapili, Aprili 12, 2026 amefunga bao la kwanza akiwa na jezi ya Le Havre katika mchezo wa Ligi Kuu ya Ufaransa...
MAURIZIO SARRI WA LAZIO KWENYE KIBARUA KIZITO MBELE YA PAOLO VANOLI WA FIORENTINA
Leo tarehe 13 Aprili saa 21:45, Uwanja wa Artemio Franchi mjini Firenze utakuwa mwenyeji wa pambano la Ligi Kuu ya Italia (Serie A) kati...
MWISHO WA MWEZI CAMARA SIMBA, KASSALI AANZA KUANDIKA HISTORIA MPYA
UONGOZI wa Simba SC umefikia uamuzi wa kuachana na kipa wake Moussa Camara mwishoni mwa msimu huu, baada ya mkataba wake kufikia tamati. Kwa mujibu...
DODOMA JIJI WAFICHA MAUMIVU, WAWEKA NIA YA KULIPA KISASI DHIDI YA SIMBA
BEKI wa Dodoma Jiji FC, Abdi Banda, amesema kuondolewa kwa timu yao katika michuano ya Kombe la Shirikisho la CRDB na Simba kumewaumiza, lakini...
SAFU YA USHAMBULIAJI YANGA YABEBA MZIGO, PEDRO ATAKA UMAKINI DHIDI YA MBEYA CITY
KOCHA wa Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves, amesisitiza kuwa hataki kuona makosa yaliyojitokeza katika mechi ya kwanza dhidi ya Mbeya City yakijirudia, wakati kikosi...
WANA SIMBA WASIFEDHESHWE, TUNAJUA NAMNA YA KUPUNGUZA POINTI
MENEJA wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally, amewatoa hofu mashabiki wa klabu hiyo kwa kuwataka kuwa watulivu licha ya...












