Simba SC

VIDEO: SIMBA WAWAFUATA WAARABU WAKIWA NA CHAKULA PAMOJA NA MATUNDA

admin April 7, 2021 8:47 am

KIKOSI cha Simba leo Aprili 7 kimeanza safari kuwafuata Al Ahly kikitokea Dubai baada ya jana Aprili 6 kuiacha ardhi ya Tanzania.


 Wakati wanasepa Bongo walisindikizwa na neema ya mvua huku msafara huo uliojumuisha jumla ya watu 55 wakisepa na mabegi zaidi ya 20, vyakula pamoja na matunda, hivi ndivyo walivyoiacha Bongo

 

KOCHA MTIBWA SUGAR ATAJA KINACHOITESA TIMU YAKE MRUNDI WA YANGA APEWA PROGRAM MAALUMU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply