kimataifa

ARGUERO ANATAKA KUJIUNGA NA BARCELONA

admin April 27, 2021 2:47 am


 SERGIO Arguero, mshambuliaji wa kikosi cha Manchester City imeelezwa kuwa amewaambia watu wake wa karibu kwamba anataka kujiunga na Klabu ya Barcelona.

Tayari imewekwa wazi kwamba mshambuliaji huyo raia wa Argentina hatakuwa kwenye kikosi hicho msimu utakapomeguka kwa sababu amemaliza mkataba na hataongeza mwingine.

Habari zimeeleza kuwa nyota huyo ambaye alicheza ndani ya La Liga akiitumikia Klabu ya Atletico Madrid anahitaji kurejea tena kwenye ligi hiyo kubwa ya Hispania.

Aguero, raia wa Argentina mwenye miaka 32 amekuwa akihusishwa kujiunga na Chelsea pamoja na Manchester United ambazo zinahitaji kumuona nyota huyo akibaki ndani ya Premier League.

MKATA UMEME LWANGA KUWAKOSA DODOMA JIJI LEO KWA MKAPA AZAM FC WABAINISHA NAMNA JAMBO LAO LITAKAVYOTIMIA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply