FA Cup

DROO YA KOMBE LA SHIRIKISHO KUCHEZWA KESHO,

admin May 10, 2021 4:47 pm


 DROO ya Fainali ya Azam Sports Federation Cup inatarajiwa kufanyika kesho majira ya saa 5:00 asubuhi na itaruka mubashara Azam Sports1 HD.

Mabingwa watetezi wa taji hilo ni Simba na wametinga hatua ya robo fainali baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Mkapa.

Hizi hapa ambazo zimetinga hatua ya robo fainali na zinasubiri kuona zitapangiwa na nani droo ya kesho:-

Rhino Rangers inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza.

Biashara United, Azam FC, Mwadui FC, Yanga SC, Dodoma Jiji, Simba SC na Namungo FC. 


DUBE APEWA TUZO YA UFUNGAJI BORA BONGO VIDEO: SIMBA QUEENS WAPEWA ZAWADI YA GARI JIPYA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply