video
VIDEO: KUHUSU CARLINOS KWENDA SIMBA, MANARA AJIBU
BAADA ya nyota wa Yanga, Carlos Carlinhos kuamua kuvunja mkataba na timu yake ya Yanga kuna shabiki aliweka wazi kwamba nyota huyo anaweza kuibukia ndani ya Simba, jambo hilo halikuachwa hivihivi, Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara alijibu
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.