video
VIDEO: SIMBA, TUNASHINDA MBELE YA YANGA, WACHEZAJI WOTE WAPO SAWA
OFISA Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa wanaamini kwamba kuelekea kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga, Julai 3 watashinda na kuchukua pointi tatu pamoja na kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.