news

KAMWAGA WA SIMBA YADAIWA KUBWAGA MANYANGA

admin August 16, 2021 8:44 pm


 IMEELEZWA kuwa Kaimu Ofisa Habari wa Klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga amebwaga manyanga ndani ya kikosi hicho.

Kamwaga alichukua mikoba ya aliyekuwa Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara ambaye alichimba kutokana na kutokuwa na maelewano mazuri na uongozi.

Alipotafutwa Kaimu  Ofisa Habari wa timu hiyo Kamwaga kwa njia ya simu hakuweza kupokea hivyo jitihada bado zinaendelea.

ILE ISHU YA AZAM FC KUBADILI LOGO …KUMBE NYUMA YA PAZIA SABABU NI HIZI HAPA WAZIRIJUNIRO WA YANGA AINGIA ANGA ZA MTIBWA SUGAR, POLISI TANZANIA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply