news

VIDEO:NAMNA MASTAA WA SIMBA WALIVYOSEPA KUELEKEA ARUSHA, MORRISON NDANI

admin September 5, 2021 4:43 pm


KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes leo Septemba 5, kimekwea pipa kuelekea Arusha kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2021/22 unaotarajiwa kuanza rasmi Septemba 25.


 Septemba 25 kutakuwa na mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Simba v Yanga, Uwanja wa Mkapa na Septemba 19 itakuwa ni Simba Day ambapo wanatarajia kucheza mchezo wa kirafiki na moja ya timu ambayo imeshinda mataji zaidi ya matatu ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Simba, Ezekiel Kamwaga.

 Miongoni mwa mastaa ambao wamekwea pipa ni pamoja na Chris Mugalu, Ibrahim Ajibu, Henock, Bernard Morrison, Joash Onyango.

 

UZI WA YANGA UNAAMBIWA, ‘SISI TUNA WATU’ BREAKING: HASSAN KESSY AJIFUNGA MWAKA MMOJA KMC

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply