Home video HAJI MANARA AFICHUA SIRI KUHUSU IMANI YA HANSPOPE

HAJI MANARA AFICHUA SIRI KUHUSU IMANI YA HANSPOPE

HAJI Manara, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa Hanspope Zakaria ambaye alikuwa ni Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ndani ya Simba aligomea masuala ya uganga na aliweza kufanikiwa kwa kumuamini Mungu.

 

SOMA NA HII  PAMOJA NA KUSAFISHWA NA TFF...MGUNDA KAFUNGUKA HAYA SAKATA LA LESENI YAKE...