Home video KASEKE AFUNGUKA BAADA YA KUIFUNGA SIMBA NGAO YA JAMII video KASEKE AFUNGUKA BAADA YA KUIFUNGA SIMBA NGAO YA JAMII By admin - September 25, 2021 0 KLABU ya Yanga imefanikiwa kutwaa Ngao ya Jamii baada ya kuifunga Simba bao 1-0 katika mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.