video

SHANGWE LA YANGA NOMA, MASHABIKI SIMBA WAYEYUKA MAZIMA

admin September 26, 2021 2:43 am

ILIKUWA ni furaha kwa Wananchi, Yanga baada ya kutwaa taji la Ngao ya Jamii kwa kuwa mwanzo mwisho walikuwa wakishangilia baada ya kuitungua Simba bao 1-0, wakati wa kugawa zawadi mashabiki wa Simba walikuwa wameshasepa eneo la tukio kitambo Uwanja wa Mkapa. 

 

SIMBA YAKATAA MATOKEO YA MECHI YA NGAO YA JAMII KWA MKAPA SIMBA YATOA TAMKO BAADA YA KUNYOOSHWA KWA MKAPA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply