video

JERRY TEGETE AGOMEA KURUDI TIMU KUBWA,AMTAJA AUCHO WA YANGA

admin October 3, 2021 1:44 pm

MCHEZAJI wa zamani wa Yanga, Jerry Tegete amesema kuwa Yanga ina kikosi kizuri ambacho kinaweza kuwapa matokeo huku wachezaji wakiwa na uwezo wa kufanya kile ambacho wanakitaka na pia kuhusu Simba ameweka wazi kwamba aliwatazama mara moja kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii.

 
Amebainisha kuwa hawezi kucheza timu kubwa kwa wakati wa sasa ambapo anaitumikia African Lyon inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza. 

 

SENZO:HII NDIYO YANGA AMBAYO TUNAITAKA PICHA ZA NDINGA MPYA YA AZAM FC

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply