Home Habari za michezo KUELEKEA MECHI YA CAF…..SIMBA WAONA ISIWE TABU…MASHABIKI KUINGIA KWA ‘UZITO’ HUU…..

KUELEKEA MECHI YA CAF…..SIMBA WAONA ISIWE TABU…MASHABIKI KUINGIA KWA ‘UZITO’ HUU…..

0


Wawakilishi wa Tanzania Kimataifa Klabu ya Simba watacheza hmchezo wa mwisho hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika Aprili 3 katika Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam dhidi ya US Gendarmerie.

Sasa kiingilio cha chini katika mchezo huo wa mwisho wa Kundi D Kombe la Shirikisho ni Tsh 3000.

Bei nyingine ni kama zinavyoonekana kwenye Jedwali hapa chini;