Habari za michezo

KUELEKEA MECHI YA CAF…..SIMBA WAONA ISIWE TABU…MASHABIKI KUINGIA KWA ‘UZITO’ HUU…..

admin March 28, 2022 7:47 am


Wawakilishi wa Tanzania Kimataifa Klabu ya Simba watacheza hmchezo wa mwisho hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika Aprili 3 katika Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam dhidi ya US Gendarmerie.

Sasa kiingilio cha chini katika mchezo huo wa mwisho wa Kundi D Kombe la Shirikisho ni Tsh 3000.

Bei nyingine ni kama zinavyoonekana kwenye Jedwali hapa chini;


MANARA AMWAGA SIRI…NYOTA SIMBA WAOMBA KUSAJILIWA YANGA…MAYELE APIGWA ‘BANI’| Championi.. BAADA YA MIKIKI MIKIKI MINGI….HATIMAYE SAMATA KUFUATA NYAYO ZA NGASA…BADO KIDOGO TU YANI…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply