Habari za michezo

BAADA YA KUFUNGWA NA SENEGAL..MISRI WAONA ISIWE TABU..WAKIMBILIA KUFUNGUA KESI FIFA…

admin March 30, 2022 3:21 pm


Chama cha soka nchini Misri kitawasilisha malalamiko yake kwa Shirikisho la Soka Ulimwenguni, FIFA, kulalamikia vitendo vya mashabiki wa Senegal kuwasumbua kwa tochi zenye mwanga mkali wachezaji wake wakati wa mchezo wa marudiano kufuzu kombe la Dunia.

FA ya Misri inadai vitendo hivyo vimechangia kwa kiasi kikubwa timu hiyo kupoteza kwa mikwaju ya penati katika mchezo huo.

Kuna matumaini huenda Senegal ikaadhibiwa kwa kutozwa faini kwa vitendo hivyo vya mashabiki wake.

PAMOJA NA KUSABABISHA PENATI KWENYE MECHI ILIYOPOTA…ONYANGO ATULIZA ‘PRESHA’ SIMBA… KULEKEA MECHI YA JUMAPILI DHIDI YA USGN..PABLO AIBUKA NA HILI TENA…AJIPA JUKUMU KWA MASHABIKI…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply