Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.

Mtibwa ikaishia raundi ya awali baada ya kupigwa nje ndani na Cotonsport ya Cameroon.
Vivyo hivyo zile mechi za tano-tano. Lakini Mgunda alikuwa na woga wa maana alipocheza na Primero D’Agosto, akiwaagiza wachezaji wake watulie nyuma na kushambulia kwa kushtukiza. Kikosi alichokipanga kilikuwa na nidhamu ya kimbinu na akapata matokeo mazuri.

