Habari za michezo

BAADA YA KUIPAISHA SIMBA KIMATAIFA…GOMES AFANYA KWELI …AWAPA UBINGWA WAAABU…

admin November 14, 2022 3:59 pm

Kocha wa zamani wa Klabu ya Simba SC, Didier Gomez ameiwezesha Klabu yake ya sasa ya Al-Wehdat SC inayoshiriki Ligi Kuu nchini Jordan kutwaa Ubingwa wa Kombe la Jordan Cup Baada ya kuibuka na ushindi wa Goli 1-0 dhidi ya Al-Aqaba SC.

Fainali ya Kombe hilo imemalizika mda mfupi uliopita ambapo Gomez ameiwezesha Klabu hiyo kushinda Ubingwa wa 11 wa Kombe hilo katika historia ya Klabu ya Al-Wehdat.

BENZEMA: RONALDO ‘KANILIA BUYU’ TOKA NISHINDE TUZO YA BALLON d’Or … KISA SIMBA NA YANGA…WADHAMINI LIGI KUU WAIBUKA NA HOJA MPYA…WAWEKA WAZI VIAUMBELE VYAO…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply