Home Habari za michezo HIVI NDIVYO MASTAA YANGA WALIVYOJIGAWIA TIMU ZA KUSHABIKIA KOMBE LA DUNIA… Habari za michezoHabari za YangaHabari za Yanga LeoMichezoMichezo BongoMichezo Soka la BongonewsYanga SC HIVI NDIVYO MASTAA YANGA WALIVYOJIGAWIA TIMU ZA KUSHABIKIA KOMBE LA DUNIA… By admin - November 22, 2022 0 Baadhi ya wachezaji wa Yanga wametaja timu wanazozipatia nafasi kubwa ya kubeba ubingwa wa Kombe la Dunia ambapo michuano hiyo inaendelea huko Qatar. Kocha Msaidizi wa Yanga, Cedric Kaze yeye amesema amewapa nafasi kubwa Senegal na Argentina wataafika fainali na kombe ataabeba Argentina. Wachezaji wametaja kama ifuatavyo; ➡️ Ufaransa Fiston Mayele ➡️Argentina Nkane Denis Kibwana Shomari Feisal Salum ➡️Brazil Gael Bigirimana Dickson Job Ibrahim Bacca. Mzize Clement ➡️Senegal Ambundo Dickson Kwa maana hiyo Brazil wamepewa nafasi kubwa ya kushinda ubingwa huo.