Habari za michezo

BREAKING NEWS:…MKWASA ATEMANA NA KINA MASAU BWIRE…CHANZO HIKI HAPA…

admin December 5, 2022 11:45 am

Kocha Charles Boniface Mkwassa Master ameamua kujiuzulu Ruvu Shooting ambayo msemaji wake ni Masau Bwire baada ya mwenendo usioridhisha.

Mkwassa ametangaza hayo kupitia Sports HQ ya EFM muda mfupi uliopita ambapo amesema anapisha jahazi hilo lichukuliwe na mwingine.

Kwenye msimamo wa Ligi Kuu, Ruvu wapo nafasi ya 15 ikiwa na pointi 11, nafasi moja kutoka mkiani kunakoshikiliwa na Polisi Tanzania wenye pointi 9.

BAADA YA KUWATANDIKA BAKORA TZ PRISONS JANA….YANGA WAIFUATA NAMUNGO ‘ASUBUHI ASUBUHI’… WANACHAMA SIMBA WAITWA KUCHUKUA FOMU ZA UBOSI WA BODI YA WAKURUGENZI…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply