CAF
MWAMUZI MECHI YA YANGA VS US MONASTIR…WANANCHI WAMEPATA ZALI KWA REFA HUYU…ASHIKILIA HATIMA
Marce Ben Komba
March 16, 2023
2:52 pm
Wakati Yanga wakijiandaa kuivaa US Monastir Kwa Mkapa wikiendi hii, huyu ndio mwamuzi atakaeamua hatima yao siku ya Jumapili.
Kwa upande wa Yanga watachezeshwa na refa wa kati, Alhadi Allaou Mahamat anayetokea Chad.
Yanga imepata zali kupangiwa mwamuzi huyu kwani timu zilizocheza nyumbani katika michezo tisa aliyochezesha ya kimataifa hakuna timu ya ugenini iliyoshinda, zimepoteza mara sita huku mitatu sare.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.