Home Habari za michezo MERIDIANBET WAZIDI KUSHAMIRI DAR KAMA UYOGA…WAKAZI WA FIRE KARIAKOO SASA KUVUA MAMILIONI...
Baada ya uzinduzi wa duka hilo mitaa ya Fire, Bwana Twaha Ibrahim ambaye ni mkuu wa kitengo cha Maudhui Meridianbet kwanza alisema kuwa; “Duka hili ambalo tumezindua ni la nne kwa mwezi huu, na hakika natumaini mmefurahi sisi kuwaletea duka hili kwaajili ya kuwarahisishia kwenye shughuli zenu za kubetia”