Habari za Simba
Habari za michezo

KUHUSU ISHU YA MKATABA WA BALEKE NA SIMBA ..UKWELI HUU HAPA…MAZEMBE BADO WAMO….

admin April 11, 2023 3:39 pm

Mkataba wa Jean Baleke na TP Mazembe bado unaendelea hadi Juni 2026.

Baleke alisaini Simba SC kwa mkataba wa mkopo wa mwaka mmoja na kuna chaguo kwamba wanaweza kuongeza mkataba wa mkopo kwa mwaka mmoja zaidi.

Mazembe waliweka wazi, bado wanataka Baleke arejeshwe baada tu mkopo wake utakapomalizika pale Simba.

Bodi ya Simba imefurahishwa na uchezaji wa Baleke na kutaka kumbakisha lakini yote inategemea kama wanaweza kufikia makubaliano ya kumnunua TP Mazembe.

Bado hakuna mazungumzo yoyote yaliyofanyika kwa upande wa mchezaji na Simba SC

Baleke ana furaha sana nchini Tanzania na anafurahia soka la Tanzania.

AZIZ KI AMEFELI YANGA…TAKWIMU HIZI ZINAONYESHA MAUZA UZA YAKE A-Z KUELEKEA MECHI YA SIMBA NA YANGA…HAWA HAPA MAREFA WA MCHEZO HUO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply