NABI AONGEZEWA MKATABA YANGA..."BADO YUPO KUONDOKA SIO SASA
Habari za michezo

NABI AVUNJA UKIMYA YANGA…AMEFUNGUKA HAYA YA MOYONI…MCHEZAJI HUYU ANAMKOSHA

Marce Ben Komba April 13, 2023 8:34 am

Kocha wa Yanga, Nasridenne Mohammed Nabi ameshtushwa na kukuoshwa na Kazi ya maana anayoifanya kitasa chipukizi Ibrahim Abdullah “BACCA”

Nabi alisema Bacca ameonyesha uimara mkubwa sana tangu aannze kumpa nafasi na amemtaka aendelee kubaki katila muendelezo wa kiwango chake huku akiwataka na wenzake pia kujipanga haswa.

Unaona sasa tuna wigo mpana wa kuchagua nani aanze pale kwa mabeki wa kati ila kwangu mimi Bacca amekuja vizuri sana. Kaonyesha uwajibikaji mkubwa katika mechi nilizompa nafasi.

“Kazi kubwa anayofanya Bacca ni dalili njema ya mambo matamu yanayokuja kwa mashabiki wa Yanga.

AZIZ KI AWEKA REKODI MPYA YANGA…CHAMA AANGUKIA PUA SIMBA…ISHU NZIMA IKO HIVI YANGA ACHENI KUMKOMOA FEI TOTO…VAENI VAZI LA UZAZI…MWACHENI AONDOKE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply