Habari za Yanga SC
Habari za michezo

BAADA YA KUOTEWA NA SIMBA JUZI….HIZI HAPA MECHI KOKI ZA YANGA SC ZILIZOBAKI…WAKIFELI NDIO BASI TENA…

admin April 18, 2023 6:07 pm

BAADA ya juzi Jumapili kufundwa na Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu kwa goli 2-0, Yanga SC sasa wamebakisha jumla ya mechi nne kuamua hatma yao ya kutete ubingwa wa Ligi.

Mechi Hizo ni pamoja na ..

TBA, 2023 16:00 Singida Big Stars FC vs Young Africans SC (Liti Stadium, Singida)

TBA | Young Africans SC vs Dodoma Jiji FC (Mkapa Stadium Dar es Salaam)

TBA, 2023 TBA Mbeya City FC vs Young Africans SC (Sokoine Stadium, Mbeya)

May 28,2023 16:00 Tanzania Prisons FC vs Young Africans SC (Sokoine Stadium, Mbeya)

GEOF LEA :- TIMU BORA (YANGA) ILIFUNGWA NA TIMU YA HAMASA (SIMBA)…HATA LIVER WALIIOKOTA MAN U… NI SIMBA SC TENA….CAF KUTUMA WATAALAMU KUJA KUFANIKISHA JAMBO MECHI NA WYDAD…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply