YANGA VS RIVERS UNITED KUKIWASHA LEO...HUJUMA ZAWASHTUA WANANCHI
Habari za michezo

YANGA VS RIVERS UNITED KUKIWASHA LEO…HUJUMA ZAWASHTUA WANANCHI

Marce Ben Komba April 23, 2023 10:19 am

Mabingwa wa kutandaza soka tamu, soka la kuvutia, soka la kumtoa nyoka pangoni, soka ice cream, soka lenye viwango vya Dunia, hapa nawazungumzia Young Africans

Baada ya kupokea kichapo kikali toka kwa mahasimu wao simba Sports Club

Leo mida ya saa 10:00 JIONI wananchi wenye nchi yao YOUNG AFRICANS watashuka pale dimba la ESTADIO DE GODSWILL AKPABIO nchini NIGERIA

Kutafuta alama tatu za ushindi mnono ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuingia nusu fainal kwa mara ya kwanza katika fainali ya michuano ya shirikisho barani Africa

Ikumbukwe kuwa hawa walishakutana katika michezo miwili huko

MESSI “BYE BYE” ANAONDOKA PSG  BURE…BARCELONA WAPIGA RADA ZAO HIZI HUYU HAPA KIUNGO PUNDA SIMBA…ACHUKUA TUZO YA MCHEZAJI BORA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply