Habari za michezo
WAKALA WA BALEKE AFICHUA KILA KITU…”SIDHANI KAMA ATABAKI SIMBA…ISHU NZIMA IKO HIVI
Marce Ben Komba
April 28, 2023
8:45 pm
Wakala wa Jean Baleke athibitisha kuwa; hafikirii mchezaji huyo atabaki Simba SC zaidi ya mkataba wake wa mkopo.
Alisema: “Sidhani kama atabaki Simba. Aidha TP Mazembe itajaribu kumrudisha au kumuuza. Huu ndio ukweli
Aliongeza kuwa vilabu kutoka Asia na Ulaya vimeanza kufanya mawasiliano.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.