Habari za Yanga SC
Habari za michezo

RASMI YANGA KUKUTANA NA WABABE HAWA…NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

Marce Ben Komba May 1, 2023 7:56 am

Timu ya Yanga imeweka rekodi baada ya kufanikiwa kutinga hatua ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Hatua hiyo imekuja baada ya kutoka sare ya bila kufungana katika Uwanja wa Mkapa mchezo wa mkondo wa pili wa Robo Fanali dhidi ya Rivers United kutoka Nigeria.

Yanga wanaingia hatua ya Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa mabao 2-0 walioupata ugenini katika mchezo wa Mkondo wa kwanza.

Yanga kwa sasa inakwenda kukutana na Marumo Gallants ya Afrika ya Kusini katika Mchezo wa Nusu Fainali, baada ya kufanikiwa
kuiondoa Pyramids ya Misri.

KUHUSU ISHU YA BALEKE KUSEPA SIMBA SC….WAKALA WAKE AVUNJA UKIMYA…AANIKA MIPANGO YA MAZEMBE… BEKI WA WYDAD AMUIGA MAYELE…LIGI YA MABINGWA AFRIKA…ISHU NZIMA IKO HIVI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply