Habari za Yanga leo
Habari za michezo

LICHA YA UBUTU WA SAFU ZA USHAMBULIAJI YANGA, GAMONDI AFUNGUKA SOKA LAKE HILI

Staff Desk August 23, 2023 1:55 pm

Kocha Miguel Gamondi alisema licha ya ubutu wa safu ya ushambuliaji ila hana wasiwasi na hilo kutokana na aina ya soka analofundisha kwani kila mchezaji anatakiwa kufunga bila kujali nafasi anayoicheza.

“Soka ninalofundisha ni la kushambulia na kukaba hivyo kila mchezaji uwanjani anatakiwa kufanya kazi bila kumwangalia nani anatakiwa kufanya nini, washambuliaji pia wanatakiwa kusaidia kukaba pale inapohitajika;

“Sifurahishwi na idadi ndogo ya mabao kutokana na nafasi nyingi zinazotengenezwa lakini hili halinifanyi kuamini kikosi changu kina mapungufu kwa sababu kwenye mechi nne imefunga mabao matano ambao sio wastani mbaya.”

ROBERTINHO AFUNGUKA KUHUSU SOKA ANALOLITAKA SIMBA DAWA YA KIBU KUCHEZA KIKOSI CHA KWANZA SIMBA HII HAPA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply