Habari za michezo
Habari za michezo

VIGOGO HAWA SIMBA, YANGA BADO SANA

Staff Desk August 31, 2023 11:15 am

Wakati wachezaji wa kigeni wa Azam FC wakionesha uwezo mkubwa wanapokutana na vigogo Simba na Yanga huku mara kadhaa wadau wakivitaka Simba na Yanga kuwabeba wachezaji hao ili kujiimarisha zaidi kwa kuwa tayari wanayajua mazingira ya Tanzania.

Taarifa ikufukie kuwa ni ngumu kwa wachezaji hao kutua Simba ama Yanga kutokana na kufanya vibaya kwa Azam FC Kimataifa.

Mpaka watakapothibitisha ubora wao katika ngazi ya Kimataifa, la sivyo Simba na Yanga watawaendea hawa hawa wazawa kina Chilunda, Sure, Muda, Kapombe, Nyoni, Manula na Bocco. Hawa wakigeni wa Azam tutawasifu lakini tutachelewa sana kuwaona Kariakoo.

Tangu hapo wanachukua hela nyingi kutoka kwa Bakhresa bora ukachukue mgeni ambae Dola 1000 ndio mshahara mkubwa zaidi anaoujua…

ONANA NIMEWASIKIA, KRAMO MAMBO FRESH… GAMONDI MOTO UNAKUJA MAMBO HADHARANI FAILI LA AFYA YA KRAMO HILI HAPA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply