Habari za Yanga leo
Habari za michezo

THE CRANE YA UGANDA YAKANUSHA TAARIFA YA YANGA KUHUSU BEKI WAO HUYU

Staff Desk September 4, 2023 2:28 pm

Msemaji wa Shirikisho la Soka Uganda (FUFA) Joel Moses amekanusha taarifa iliyotolewa na klabu ya Yanga kuwa beki Giggy Gift Fred ameitwa timu ya taifa.

Moses amesema jina la beki huyo halipo katika Kikosi cha Uganda Cranes kilichoitwa na Kocha Milutin Seredojovic Micho.

Je, ina maana Yanga wameliongopea Taifa kwa Taarifa yao waliyotoa? Tupe maoni yako

HUKO SUPER LEAGUE MAMBO NI MOTO, SIMBA WAJA NA MBINU HII KUIMALIZA AL AHLY KOCHA WA SIMBA HUYU HAPA TAIFA STARS….. ISHU IKO HIVI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply