Habari za michezo
KIKOSI CHA POWER DYNAMO KIMEWASILI NCHINI KWAAJILI YA SIMBA
Staff Desk
September 29, 2023
10:23 am
Kikosi cha Timu ya Power Dynamos tayari wamekwisha wasili nchini kutokea Zambia kwaajili ya mchezo wao wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Simba Sc.
Mchezo huo ambao utapigwa Jumapili, Septemba 1, 2023 kuwania hatua ya makundi ya michuano hiyo baada ya mchezo wa kwanza kumalizika kwa sare ya bao 2-2 nchini Zambia
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.